Jamaa yangu anasema kuna demu wake anakuja, nimpishe kidogo

Jamaa yangu anasema kuna demu wake anakuja, nimpishe kidogo

chamaclotus

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
1,079
Reaction score
2,273
za leo wakuu

kuna jamaa yangu mmoja alinipa hifadhi home kwake maana niliingia mjini mambo hayajakaa sawa. sasa juzi kanambia kuna manzi anakuja ili wainjoy sikukuu so nicheki utaratibu na mahali pa kukaa, sijajua ataondoka lini huyo demu. Ila jamaa ana chumba na sebule na mi nilikuwa naangusha sebuleni.
 
Kiasili binadam huwa anachoka hata mim nikikaa na mtu kidogo awe ndugu awe nani nataka aende ili nibaki mwenyewe 😂😂sasa unakuta mtu anataka akae tu weeeee sipendi 🫣mi nimekulia extended family toka nijitegeme hata napenda kukaa kwangu tu naona raha mno kuliko yaan home kulikuwa hakuna prvacy kabisa muda wote nyumba imejaa khaaa
nilivyokuwa home, kuna muda mtu anataka kukaa mwenyewe tu
We usiogope mwambie akusaidie hata mchange hela upange chumba chako mwenyewe anza mdogo mdogo nakuambia ukizoea hutataman kukaa kwa mtu ,muelewe na wala usikasirike
 
Ngoja nipooze
tapatalk_1670163878863.jpeg
 
za leo wakuu

kuna jamaa yangu mmoja alinipa hifadhi home kwake maana niliingia mjini mambo hayajakaa sawa. sasa juzi kanambia kuna manzi anakuja ili wainjoy sikukuu so nicheki utaratibu na mahali pa kukaa, sijajua ataondoka lini huyo demu. Ila jamaa ana chumba na sebule na mi nilikuwa naangusha sebuleni.
Karibu kwangu
 
Back
Top Bottom