Jamaa yangu anasema kuna demu wake anakuja, nimpishe kidogo

Jamaa yangu anasema kuna demu wake anakuja, nimpishe kidogo

Kiasili binadam huwa anachoka hata mim nikikaa na mtu kidogo awe ndugu awe nani nataka aende ili nibaki mwenyewe [emoji23][emoji23]sasa unakuta mtu anataka akae tu weeeee sipendi 🫣mi nimekulia extended family toka nijitegeme hata napenda kukaa kwangu tu naona raha mno kuliko yaan home kulikuwa hakuna prvacy kabisa muda wote nyumba imejaa khaaa
nilivyokuwa home, kuna muda mtu anataka kukaa mwenyewe tu
We usiogope mwambie akusaidie hata mchange hela upange chumba chako mwenyewe anza mdogo mdogo nakuambia ukizoea hutataman kukaa kwa mtu ,muelewe na wala usikasirike
Haswaaaah umenena ashike na kulibeba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasemaga akufukuzae hakwambii toka.

Hivyo usishangae akishaondoka huyo mwanamke akaibua jipya lingine ilimradi tu.

Jiongeze.
 
Kiasili binadam huwa anachoka hata mim nikikaa na mtu kidogo awe ndugu awe nani nataka aende ili nibaki mwenyewe 😂😂sasa unakuta mtu anataka akae tu weeeee sipendi 🫣mi nimekulia extended family toka nijitegeme hata napenda kukaa kwangu tu naona raha mno kuliko yaan home kulikuwa hakuna prvacy kabisa muda wote nyumba imejaa khaaa
nilivyokuwa home, kuna muda mtu anataka kukaa mwenyewe tu
We usiogope mwambie akusaidie hata mchange hela upange chumba chako mwenyewe anza mdogo mdogo nakuambia ukizoea hutataman kukaa kwa mtu ,muelewe na wala usikasirike
Hii kweli aisee! Hata me napenda sana maisha ya kukaa mwenyew unakuwa huru sana! Yani hata kwenda kukaa kwa mtu na kulala huwa siwezi labda niende af niondoke jioni! Sio kwa ubaya lakini!
 
Tafuta kazi ya ulinzi kwenye makampuni binafsi, uwe unaingia shift za night mkuu, utakuja kunishukuru ila tu usiwe na tamaa za haraka haraka utaozea jela.
 
Hii kweli aisee! Hata me napenda sana maisha ya kukaa mwenyew unakuwa huru sana! Yani hata kwenda kukaa kwa mtu na kulala huwa siwezi labda niende af niondoke jioni! Sio kwa ubaya lakini!
Wa Norway ndiyo wana maisha hayo kwenye familia zao kijana akishakuwa mkubwa tu anaondoka kwao ana waacha wazazi wao wanapenda kuishi wawili wawili , mke na mume au wapenzi hawapendi kuishi pamoja iwe kindugu au kirafi wao wanapenda maisha ya kujitenga

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kiasili binadam huwa anachoka hata mim nikikaa na mtu kidogo awe ndugu awe nani nataka aende ili nibaki mwenyewe [emoji23][emoji23]sasa unakuta mtu anataka akae tu weeeee sipendi 🫣mi nimekulia extended family toka nijitegeme hata napenda kukaa kwangu tu naona raha mno kuliko yaan home kulikuwa hakuna prvacy kabisa muda wote nyumba imejaa khaaa
nilivyokuwa home, kuna muda mtu anataka kukaa mwenyewe tu
We usiogope mwambie akusaidie hata mchange hela upange chumba chako mwenyewe anza mdogo mdogo nakuambia ukizoea hutataman kukaa kwa mtu ,muelewe na wala usikasirike
Hii ni kweli kabisa, unakuwa umejazana na watu kwako kiasi kwamba huwezi hata kucheza au kumchapa kofi la tako mkeo mkiwa sebuleni au jikoni! Kudinya tu unadinya kwa slow motion huku unamziba mdomo mkeo ili wengine wasisikie!
Privacy ni muhimu, wale wa kusaidiwa siyo lazima uwasaidie wakiwa kwako!
 
Back
Top Bottom