😅😅😅😅😅😅😅 Anasukuma Toyota ww unasukuma story ya maishà yake na pesa zake kwetu cc .Kuna Mshikaji mmoja nyakati za utoto alikuwa mjingamjinga, ?Tu wa kudharauliwa, jamaa kaenda sijui Kongo Huko juzi tumekutana naye sio pouwa. Anasukuma Toyota Fortune
Huna kazi ya kufanya ndio maana unaleta chai humu
Endelea kuleta chai nyingineWewe Kazi yako ni kukaa humu kugundua chai za Watu
😅😅😅😅😅😅😅 Anasukuma Toyota ww unasukuma story ya maishà yake na pesa zake kwetu cc .
Maishà hayana fomla mkuu
Endelea kuleta chai nyingine
ChaiSawa. Nataka nikupe Kazi ya kufuatilia chai
Kwamba amekuaje??? Sijaelewa vizuri lo
Kaanzisha kazi ya uganga na kutepeli watu mpaka kanunua bajaji...Kwamba amekuaje??? Sijaelewa vizuri lo
Hako kajamaa hakawezi kuwa ni we we?
Safi sana wajinga ndio waliwao!Kaanzisha kazi ya uganga na kutepeli watu mpaka kanunua bajaji...
Mganga ndio ana ajira portal? Waache ujinga
Alafu itakua Hawa watu wa kada ya afya ambao walikua wanaajiriwa bila interview
Kuombewa ni tofauti na kufanya shirkiDunia hii inamambo Mkûu.
Mbona Wengine wanaenda kuombewa na wachungaji na masheikhe. Kwani wachungaji na masheikhe ndîo Ajira Portal?
NI mambo ya Imani tuu Mkuu
Kaanzisha kazi ya uganga na kutepeli watu mpaka kanunua bajaji...
Kuombewa ni tofauti na kufanya shirki