Jamani anzeni kuhifadhi chakula ndani WW3 is coming

Jamani anzeni kuhifadhi chakula ndani WW3 is coming

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2018
Posts
983
Reaction score
2,306
Mambo ya Assassination of Archduke Ferdinand yanaenda kujirudia Tena ..Just mark my words.

Nunueni chakula Kwa wingi wekeni ndani.

Mtakuja kunikumbuka

Screenshot_20220225-140812.png
 
Wewe umeshanunua tayari Boss?
Normally huwa nanunuaga chakula kingi naweka stock ya miezi mitatu Hadi Sita . My concern is on my fellow Tanzanians ambao najua wengi wenu hamna utaratibu wa kununua stock ya chakula , mnanunua kila siku. Nilijionea vituko wakati wa sekeseke la Corona.

Soon bidhaa muhimu zitaanza Kupanda Bei.

Vita ina kama siku mbili Tu lakini Bei ya petrol imeshaanza Kupanda bei

Hatujui mwezi mmoja baadae Hali itakuwa aje .
 
Hakuna sababu ya kununua chakula kwa ajili ya WW3. Sisi hatuna interest yoyote na vita vya tatu. Labda ungeshauri serikali inunue madawa, vifaa tiba, mafuta, gesi na mahitaji mengineyo ambayo tuyaagiza nje. Sisi tutakuwa tunalima huku mabosi zetu wakipigana kivyao huko majuu. Tutalima hadi wa kula wakosekane maana soko letu la bidhaa za kilimo lipo kwao na wao watakuwa busy na vita. Na vita vitapiganiwa hukohuko wala sio huku kwetu. Na mabaki ya silaha zitakazobaki baada ya vita tutauziwa sisi tusiojua hata kuzitengeneza. Narudia tena usije ukajaribu kununua mahindi eti yatapanda bei au yataadimika. Nunua bidhaa amabazo nchi yetu na Afrika kwa ujumla hawazalishi.
 
Hakuna shidaa kikubwa tutafananaaaa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Tutafanana ki kipato?
Wewe unajua madhara ya vita? Mpaka mambo yanarudi sawa unakuta umepoteza mke, watoto wote na wazazi wote umebaki mwenyewe kama shetani.
Halafu wengine unakuta wamepoteza member mmoja wa familia na wengine hawajapoteza kabisa. Ndio utajua hamna kufanana.
 
Hakuna sababu ya kununua chakula kwa ajili ya WW3. Sisi hatuna interest yoyote na vita vya tatu. Labda ungeshauri serikali inunue madawa, vifaa tiba, mafuta, gesi na mahitaji mengineyo ambayo tuyaagiza nje. Sisi tutakuwa tunalima huku mabosi zetu wakipigana kivyao huko majuu. Tutalima hadi wa kula wakosekane maana soko letu la bidhaa za kilimo lipo kwao na wao watakuwa busy na vita. Na vita vitapiganiwa hukohuko wala sio huku kwetu. Na mabaki ya silaha zitakazobaki baada ya vita tutauziwa sisi tusiojua hata kuzitengeneza. Narudia tena usije ukajaribu kununua mahindi eti yatapanda bei au yataadimika. Nunua bidhaa amabazo nchi yetu na Afrika kwa ujumla hawazalishi.
Chakula ni dawa mkuu

Mbaazi, kunde, dengu, mtama, uyoga n.k ni zaidi ya Dawa za hospitalini.

Vita ita iathiri Dunia nzima.

China nao wanaweza kutumia Muda Huu kama Muda muafaka wa kuivamia kijeshi Taiwan Jambo ambalo lita ongeza chumvi kwenye kidonda
 
Tutafanana ki kipato?
Wewe unajua madhara ya vita? Mpaka mambo yanarudi sawa unakuta umepoteza mke, watoto wote na wazazi wote umebaki mwenyewe kama shetani.
Halafu wengine unakuta wamepoteza member mmoja wa familia na wengine hawajapoteza kabisa. Ndio utajua hamna kufanana.
Watanzania wengi hawapo sensitive na masuala ya vita ndio maana dada yetu Monalisa hakuwahi kumtoa binti yake Ukraine licha ya kuwepo Kwa viashiria ya Ukraine kuvamiwa Muda wowote .. anakuja kustuka tayari vita imeshalipuka and no way out.

Ndivyo itakavyo kuja kuwa Kwa watanzania wengi
 
Back
Top Bottom