Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Hamna vita hapo blaah blaah tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nataka Marekani na Israeli iwachape urusi mpaka wanye mavi na socialism ifutike kabisa ulimwenguniMambo ya Assassination of Archduke Ferdinand yanaenda kujirudia Tena ..Just mark my words.
Nunueni chakula Kwa wingi wekeni ndani.
Mtakuja kunikumbuka
Kivipi sasa?Acha dharau mkuu
Sisi hatauna sababu ya kuweka akiba ya chakula kwa ajili ya vita ambayo haipiganwi kwenye bara letu wala ardhi yetu. Pia hatuwezi kuhofia chakula ambacho tunakilima wenyewe badala yake tuhofie vile tunavyoagiza kwao maana uzalishaji utasimama. Tena ni muda muafaka wa sisi kuwahimiza wapiganie huko huko makwao badae wakose hata punje ya mchele sisi tuwauzie chakula na vitu vingine.Chakula ni dawa mkuu
Mbaazi, kunde, dengu, mtama, uyoga n.k ni zaidi ya Dawa za hospitalini.
Vita ita iathiri Dunia nzima.
China nao wanaweza kutumia Muda Huu kama Muda muafaka wa kuivamia kijeshi Taiwan Jambo ambalo lita ongeza chumvi kwenye kidonda
Tofautisha Marekani vs Libya and Russia vs Ukraine.Mbona marekani na washirika wake alivyovamia libya hatukuweka chakula ndani. We muuza mazao nini ?
#Kabalozi ka Kenya kalijaribu kutoa maoni yake akapewa za uso::SMART INTRLEGENT SAYS THAT'S.
anonymous=Prof. Lumumba"Tribal wars in Europe were uplifted to the status of being called world wars" anonymous.
And history intails that in 19 C. Ukraine used to be powerful than Russia."Tribal wars in Europe were uplifted to the status of being called world wars" anonymous.
Kwani na wao hawafiTutafanana ki kipato?
Wewe unajua madhara ya vita? Mpaka mambo yanarudi sawa unakuta umepoteza mke, watoto wote na wazazi wote umebaki mwenyewe kama shetani.
Halafu wengine unakuta wamepoteza member mmoja wa familia na wengine hawajapoteza kabisa. Ndio utajua hamna kufanana.
Baada ya hyo vita kuna watu watatajirika na kuwa na ukwasi mkubwa sana.. stak kosa hyo oportunity kabisa... Nawaza vitofali vya dhahabu pale BOTMambo ya Assassination of Archduke Ferdinand yanaenda kujirudia Tena ..Just mark my words.
Nunueni chakula Kwa wingi wekeni ndani.
Mtakuja kunikumbuka
Anakaaje kwa mfano.. nchi ambayo iko equiped na nuclear weapons... Ina hifadh ya 9000 nuclear bombs.. ushajiuliza whyHawawezi kuingiza dunia kwenye WW3 bila manufaa yoyote. Ndio maana westerners hawapeleki majeshi wanampuuzia mrusi. Ila wakiamua kumkalisha anakaa na hamna ww3 wala nini
Ukraine kiuchumi ilikua haiikut libya hata nusu mjomba.. ukraine hata sis nahis tuko sawa naoTofautisha Marekani vs Libya and Russia vs Ukraine.
Ukraine is not Libya mkuu
Tofautisha Marekani vs Libya and Russia vs Ukraine.Mbona marekani na washirika wake alivyovamia libya hatukuweka chakula ndani. We muuza mazao nini ?
Ishu sio uchumi mkuu. Geographical Location. Libya IPO Afrika . Ukraine ipo Ulaya . Vitu viwili tofautiUkraine kiuchumi ilikua haiikut libya hata nusu mjomba.. ukraine hata sis nahis tuko sawa nao
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupotosha watu kununua chalula....no wakati wa kilima kwa wingi hasa kipindi hiki cha mvua za vuli tupate chakula cha kutosha kuwauzia mabeberu maana hawatakuwa wanajishughulisha na kilimo zaidi vitaMambo ya Assassination of Archduke Ferdinand yanaenda kujirudia Tena ..Just mark my words.
Nunueni chakula Kwa wingi wekeni ndani.
Mtakuja kunikumbuka
View attachment 2130746