Jamani anzeni kuhifadhi chakula ndani WW3 is coming

Sisi hatauna sababu ya kuweka akiba ya chakula kwa ajili ya vita ambayo haipiganwi kwenye bara letu wala ardhi yetu. Pia hatuwezi kuhofia chakula ambacho tunakilima wenyewe badala yake tuhofie vile tunavyoagiza kwao maana uzalishaji utasimama. Tena ni muda muafaka wa sisi kuwahimiza wapiganie huko huko makwao badae wakose hata punje ya mchele sisi tuwauzie chakula na vitu vingine.
 
Kwani na wao hawafi
 
Mambo ya Assassination of Archduke Ferdinand yanaenda kujirudia Tena ..Just mark my words.

Nunueni chakula Kwa wingi wekeni ndani.

Mtakuja kunikumbuka
Baada ya hyo vita kuna watu watatajirika na kuwa na ukwasi mkubwa sana.. stak kosa hyo oportunity kabisa... Nawaza vitofali vya dhahabu pale BOT

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ya Assassination of Archduke Ferdinand yanaenda kujirudia Tena ..Just mark my words.

Nunueni chakula Kwa wingi wekeni ndani.

Mtakuja kunikumbuka

View attachment 2130746
Acha kupotosha watu kununua chalula....no wakati wa kilima kwa wingi hasa kipindi hiki cha mvua za vuli tupate chakula cha kutosha kuwauzia mabeberu maana hawatakuwa wanajishughulisha na kilimo zaidi vita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…