Jamani anzeni kuhifadhi chakula ndani WW3 is coming

Prayers
Acha kupotosha watu kununua chalula....no wakati wa kilima kwa wingi hasa kipindi hiki cha mvua za vuli tupate chakula cha kutosha kuwauzia mabeberu maana hawatakuwa wanajishughulisha na kilimo zaidi vita
Athari zaVita zita sambaa Dunia nzima wewe usiwe Kilaza
 
Hakuna cha WW3 wala nini ni mkwaruzano mdogo tu huo sema ka Ukraine kameshikwa shingoni kweli kweli
 
Ukraine ameisha surander mwamba cku 1 kaharibu kambi kadhaa za jeshi la Ukraine kaua wajeda zaid ya 40.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…