Jamani askari tuliostaafu tunaomba Rais Magufuli utukumbuke pensheni bado, hali ni ngumu mtaani huku

Jamani askari tuliostaafu tunaomba Rais Magufuli utukumbuke pensheni bado, hali ni ngumu mtaani huku

Kiongozi Pole Sana
Kwa Uzoefu Najua Tangu Upate Ajira Hujawahi Kulipwa Pesa Ya Nauli, Pesa Ya Uhamisho

Vyombo Vinawadhurumu Sana!!
Jiulize Kule Bungeni Budget Zikipitishwa Stahiri Zako Kwa Mwaka Husika Unatakiwa Upewe
Nakumbuka JPM Aliagiza Kata Umeme, Maji Kwenye Vyombo Vyote. Mbona Walilipa Haraka

Maana Yake Pesa WalikuwA Wanaipeleka Wapi Mpaka Washindwe Kuwalipa Mamlaka Nyingine

Huko Ulikostaafia Haa πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚
 
Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.

Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.

Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Malipo hapa hapa duniani, mlivyokuwa mnapiga watu mabomu ya machozi mlikuwa mnajua haitafika kesho yenu ??
 
Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.

Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.

Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Askari gani ww unalalamika unatakiwa uwe mvumilivu na jasiri, endelea kusubiri ata kama itachukua miaka 25
 
Wewe inaonekana sio mfanya kazi maana usingeongea kwa kujitoa fahamu, kwani kutumika na mabeberu kuna kuwaje mfano. ndio mlitunga sheria za kuwanyamanzisha watanzania wasiwe wanadai haki zao, pumbavu
Leo ndo unajua hakuna sheria ya kunyamazisha watu kudai haki zao?,sasa mbona mnawapiga mambomu wadai haki?
 
Katika watu nisiowaombea mema nchi hii basi ni hawa polisi, majeshi mengine sina shida nao kabsa maana wanatenda haki ila hawa wavaa kaki hataa akiwa anaumwa au kuhitaji msaada siwezi toa bora nitupe.
 
Mzee utakula ulikopeleka mboga,hakuna namna,mboga si ulipeleka CCM,subiri kwanza miradi ya kimkakakati ikamilike,yaani JPM akulipe hela aache kujenga barabara,thubutu!
 
Nimewiwa Kusema Haya
Askari Mleta Mada Hujachelewa Sijui Ulikuwa
JW,POLICE, PCCB,TISS, PRISON, FIRE ,IMMIGRATION

Waliochangia Thread Hii Ndiyo Utakaoishi Nao Kwa Amani Na Watakusaidia Sana Tena Kwa Mengi
Iwe Raha, Iwe Tabu. Kipindi Hiki Upo Camp
Ongea Na Askari Wengine Kuwajuza Wananchi
Wanavyokwazwa Na Mengi!!

Inasikitisha Sana,
 
Huna akili, hujui pale ilikuwa ni amri na kutii mamlaka, sasa niko uraiani mkataba umeisha unataka iweje mfano nikae kimya au
Wewe ndio huna akili, huwa tunawaambia msijitoe akili kwa sababu ya hiyo kazi kwani kuna kesho, hapo najua huwezi hata kusaidiwa na wasamaria wema kwa sababu hukuishi vizuri na jamii, ni kosa kubwa sana kutii Amri huku ukijua unatekeleza amri isiyo halali, nenda ukamuombe Sirro akusaidie, na serikali ya ccm mliyokuwa mnaisaidia kuteka watu na kuuwa watu ndio hiyo sasa hivi haiwajali tena, sio kwamba haina hela za kuwalipa bali ni kwasababu imeona hamna thamani tena, sasa mnavuna mlichopanda, tarehe 28/10/2020 onyesha hasira zako kwa ccm kwa kuikataa au kama vipi muendelee kusotea haki yenu, nyie ndio mlikuwa na nafasi kubwa ya kuwezesha kuing'oa ccm madarakani kwa kuiacha icheze mchezo sawa kwenye uwanja wa siasa
 
Afande Watu Wanemsakama Sana
Bila Shaka Yoyote

Nina Jamaa Yangu Mmoja Ana Ndugu Yake Ni Askari Anasema Akitoka Kazini Nguo Anafulia Na Kuvalia Kikosini.
Nikamuuliza Kwanini, Akasema Hawakubaliki Uraiani, Ndiyo Maana Nguo Kuvaa Zimekuwa Mzigo
sabab wananyanyasa raia, kuna siku nimeenda kumsalimia mzee nikakuta nyumba kampangisha askari polisi bahati nzuri alikuwa amelipia ila hajahamia nilipofika nikamwambia amrudishie kodi fasta, asilete mikosi nyumbani.
Maana tangu nizaliwe sijawahi ona askari polisi hawa wa chini aliyestaafu mwenye maisha mazuri wengi wao ni tia maji pangu pakavu.
 
Back
Top Bottom