Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Kweli Mama Samia anaupiga mwingi, Ajira zinazomwagwa Sasa hv na Halmashauri mbalimbali nchini ni kufuru yaan Kila Halmashauri Ajira kibao Watendaji wa mitaa, mabwana Shamba na mifugo, madereva, maafisa manunuzi. Tembeleeni tovuti za halmashauri mbalimbali ili mufahamu namna ya kuomba kazi hzi.
Kila la kheri JobSeekers.
Hadi Sasa Halmashauri zilizotangazwa Ajira ni kama ifuatavyo na bado Halmashauri zingine zinaendelea kutangaza.
Halmashauri ya Masasi mji.
Halmashauri ya Newala mji.
Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa.
Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino.
Halmashauri ya Wilaya ya Mtama.
Halmashauri ya Wilaya ya Rorya.
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Halmashauri wilaya ya Kondoa.
Ilemela Mwanza.
Tandahimba.
Kila la kheri JobSeekers.
Hadi Sasa Halmashauri zilizotangazwa Ajira ni kama ifuatavyo na bado Halmashauri zingine zinaendelea kutangaza.
Halmashauri ya Masasi mji.
Halmashauri ya Newala mji.
Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa.
Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino.
Halmashauri ya Wilaya ya Mtama.
Halmashauri ya Wilaya ya Rorya.
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Halmashauri wilaya ya Kondoa.
Ilemela Mwanza.
Tandahimba.