0716 326162 namba izo naitaji izo ili nitume mie DEREVAMatangazo mengi Sana Ni watendaji wa mtaa, wa kijiji, kila halmashauri Ni nafasi 12,14 na Nyasa nafasi 6, Makatibu mukhtasi, madereva, hamashari nyingi Sana mkuu, mabwana shamba wanaweza wakawepo maana sijayasoma yote, Ila watendaji wa mtaa na vijiji ndio wengi Sana, ngoja nikuangalizie halafu nakujulisha inbox au Kama una haraka nitext WhatsApp nikutumie ya halmashauri zote, nayaweka naona yanakataa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app