Jamani fuatilieni Halmashauri mbalimbali, sasa zinamwaga ajira

Jamani fuatilieni Halmashauri mbalimbali, sasa zinamwaga ajira

Matangazo mengi Sana Ni watendaji wa mtaa, wa kijiji, kila halmashauri Ni nafasi 12,14 na Nyasa nafasi 6, Makatibu mukhtasi, madereva, hamashari nyingi Sana mkuu, mabwana shamba wanaweza wakawepo maana sijayasoma yote, Ila watendaji wa mtaa na vijiji ndio wengi Sana, ngoja nikuangalizie halafu nakujulisha inbox au Kama una haraka nitext WhatsApp nikutumie ya halmashauri zote, nayaweka naona yanakataa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
0716 326162 namba izo naitaji izo ili nitume mie DEREVA
 
TGS B
TGS B 1. (Sh311,000), TGS B 2. (Sh319,500), TGSB 3. (Sh328,000), TGS B 4. (Sh336,500), TGS B 5. (Sh345,000), TGS B 6. (Sh353,500), TGS B 7. (Sh362,000), TGS B 8. (Sh370,000), TGS B 9. (Sh379,000) na TGS B 10. (Sh 387,500).

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhan muuliza swali Oscar_TZ amepata muongozo.. kwa ufupi tu TGS B ni inarange 310,000 mpaka 390,000.
Yaan haizidi Laki 4
 
Hizo nafasi za watendaji ni diploma au cheti?

#MaendeleoHayanaChama
 
Duuh..kweli hatari yani nw days ni mwendo wa cheti na diploma kwa kazi za serikali.

Wenye digrii tuendelee kujiongeza kitaa.

#MaendeleoHayanaChama
Wangeruhusu tu degree apply Kaz za diploma overqualification Sioni kama nikitu kibaya
 
TGS B
TGS B 1. (Sh311,000), TGS B 2. (Sh319,500), TGSB 3. (Sh328,000), TGS B 4. (Sh336,500), TGS B 5. (Sh345,000), TGS B 6. (Sh353,500), TGS B 7. (Sh362,000), TGS B 8. (Sh370,000), TGS B 9. (Sh379,000) na TGS B 10. (Sh 387,500).

Sent using Jamii Forums mobile app
ni mwambie tu kuwa mshahara ni TGS B1 ongeza na Ile asilimia iliyo ongezwa utapa jibu
 
Wakuu naomba kufahamu nguvu ya recommendation letter katika maombi ya ajira.
Ukiandikiwa hio barua kuna uwezekano ukafanikiwa kupata ajira uloomba?
 
Hakuna utendaji kata.. Ila nachoona hawa watendaji wa mitaa wakiwa kwenye kazi mda mrefu na wakijiendeleza kimasomo ndo wanapataga kata
Mkuu umeliona lile la ofisi ya cag wanataka wataalamu wa sheria na afisa vilimo


Kuna sehemu wameandika wanataka watu wa shahada ya kilimo na Shahada ya kwanza ya sayansi waliojiimarisha katika mchepuo wa kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali. hapa wanamaanisha kwamba

Horticulture , forestry na agronomy pia ni ruhusa ku apply ?
 
Back
Top Bottom