Jamani fuatilieni Halmashauri mbalimbali, sasa zinamwaga ajira

Jamani fuatilieni Halmashauri mbalimbali, sasa zinamwaga ajira

Mkuu umeliona lile la ofisi ya cag wanataka wataalamu wa sheria na afisa vilimo


Kuna sehemu wameandika wanataka watu wa shahada ya kilimo na Shahada ya kwanza ya sayansi waliojiimarisha katika mchepuo wa kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali. hapa wanamaanisha kwamba

Horticulture , forestry na agronomy pia ni ruhusa ku apply ?
Tangazo lipo kwenye website ipi mkuu?
 
Mkuu umeliona lile la ofisi ya cag wanataka wataalamu wa sheria na afisa vilimo


Kuna sehemu wameandika wanataka watu wa shahada ya kilimo na Shahada ya kwanza ya sayansi waliojiimarisha katika mchepuo wa kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali. hapa wanamaanisha kwamba

Horticulture , forestry na agronomy pia ni ruhusa ku apply ?
Kama Ni Ajira portal haiwezekani kwa izo kozi zingine.
 
Wakuu naomba kufahamu nguvu ya recommendation letter katika maombi ya ajira.
Ukiandikiwa hio barua kuna uwezekano ukafanikiwa kupata ajira uloomba?
Wakuu, pitieni na hapa. Mwenye ujuzi wa hili nililouliza tafadhali.
 
Wangeruhusu tu degree apply Kaz za diploma overqualification Sioni kama nikitu kibaya
Ni ujinga na ukiritimba usio na maana. Unakuta mtu ana cheti labda cha IT na degree ya utawala. Ikitoka post inahitaji certificate ya IT, akiomba system inamkataa na ukiuliza wanasema una over qualification.
 
Mkuu umeliona lile la ofisi ya cag wanataka wataalamu wa sheria na afisa vilimo


Kuna sehemu wameandika wanataka watu wa shahada ya kilimo na Shahada ya kwanza ya sayansi waliojiimarisha katika mchepuo wa kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali. hapa wanamaanisha kwamba

Horticulture , forestry na agronomy pia ni ruhusa ku apply ?
Wewe kama umepita SUA, na kozi yako imetokea kwenye Ile college yetu pendwa ya Agriculture basi unafiti.. Forest nadhani haiko college ya Agriculture. Kama mvumilivu Subiri zile 814 zikitoka
 
Wewe kama umepita SUA, na kozi yako imetokea kwenye Ile college yetu pendwa ya Agriculture basi unafiti.. Forest nadhani haiko college ya Agriculture. Kama mvumilivu Subiri zile 814 zikitoka
814 hazitoki kwa mkupuo kama afya na elimu. Ndo hizihizi mbili tatu zinazotoka na nyingine kupitia halmashauri mbalimbali.
 
814 hazitoki kwa mkupuo kama afya na elimu. Ndo hizihizi mbili tatu zinazotoka na nyingine kupitia halmashauri mbalimbali.
Sasa nambie huko Halmashauri ni Halmashauri gani zimetangazwa nafasi za maafisa Kilimo kama sio madereva, KATIBU mahsusi na watendaji..!!!
 
Kweli Mama Samia anaupiga mwingi, Ajira zinazomwagwa Sasa hv na Halmashauri mbalimbali nchini ni kufuru yaan Kila Halmashauri Ajira kibao Watendaji wa mitaa, mabwana Shamba na mifugo, madereva, maafisa manunuzi. Tembeleeni tovuti za halmashauri mbalimbali ili mufahamu namna ya kuomba kazi hzi.

Kila la kheri JobSeekers.
Hadi Sasa Halmashauri zilizotangazwa Ajira ni kama ifuatavyo na bado Halmashauri zingine zinaendelea kutangaza.

Halmashauri ya Masasi mji.
Halmashauri ya Newala mji.
Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa.
Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino.
Halmashauri ya Wilaya ya Mtama.
Halmashauri ya Wilaya ya Rorya.
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Halmashauri wilaya ya Kondoa.
Ilemela Mwanza.
Tandahimba.
Watakuja kuuliza eti ambao hawajasoma, hii inawahusu au wakae kwa kutulia!!?
 
Back
Top Bottom