Undisputed Hustler
JF-Expert Member
- Oct 8, 2020
- 462
- 1,235
Tangazo lipo kwenye website ipi mkuu?Mkuu umeliona lile la ofisi ya cag wanataka wataalamu wa sheria na afisa vilimo
Kuna sehemu wameandika wanataka watu wa shahada ya kilimo na Shahada ya kwanza ya sayansi waliojiimarisha katika mchepuo wa kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali. hapa wanamaanisha kwamba
Horticulture , forestry na agronomy pia ni ruhusa ku apply ?
Kama Ni Ajira portal haiwezekani kwa izo kozi zingine.Mkuu umeliona lile la ofisi ya cag wanataka wataalamu wa sheria na afisa vilimo
Kuna sehemu wameandika wanataka watu wa shahada ya kilimo na Shahada ya kwanza ya sayansi waliojiimarisha katika mchepuo wa kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali. hapa wanamaanisha kwamba
Horticulture , forestry na agronomy pia ni ruhusa ku apply ?
Kata Ni kuanzia Diploma.Hakuna utendaji kata.. Ila nachoona hawa watendaji wa mitaa wakiwa kwenye kazi mda mrefu na wakijiendeleza kimasomo ndo wanapataga kata
Wakuu, pitieni na hapa. Mwenye ujuzi wa hili nililouliza tafadhali.Wakuu naomba kufahamu nguvu ya recommendation letter katika maombi ya ajira.
Ukiandikiwa hio barua kuna uwezekano ukafanikiwa kupata ajira uloomba?
ina umuhimu sana kama unayo iwekeWakuu, pitieni na hapa. Mwenye ujuzi wa hili nililouliza tafadhali.
Ndio ni la ajira portalKama Ni Ajira portal haiwezekani kwa izo kozi zingine.
Nimeliona kwenye ili jukwaa la ajira na tenda jamii forum wamelipost lipo kwenye nyuzi za mwanzo mwanzo ukifungua jukwaa la ajiraTangazo lipo kwenye website ipi mkuu?
Asante sana mkuu.ina umuhimu sana kama unayo iweke
Ni ujinga na ukiritimba usio na maana. Unakuta mtu ana cheti labda cha IT na degree ya utawala. Ikitoka post inahitaji certificate ya IT, akiomba system inamkataa na ukiuliza wanasema una over qualification.Wangeruhusu tu degree apply Kaz za diploma overqualification Sioni kama nikitu kibaya
Wewe kama umepita SUA, na kozi yako imetokea kwenye Ile college yetu pendwa ya Agriculture basi unafiti.. Forest nadhani haiko college ya Agriculture. Kama mvumilivu Subiri zile 814 zikitokaMkuu umeliona lile la ofisi ya cag wanataka wataalamu wa sheria na afisa vilimo
Kuna sehemu wameandika wanataka watu wa shahada ya kilimo na Shahada ya kwanza ya sayansi waliojiimarisha katika mchepuo wa kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali. hapa wanamaanisha kwamba
Horticulture , forestry na agronomy pia ni ruhusa ku apply ?
Hamna kitu kama hicho. Wanachofanya ni hao hao wa mitaa na vijiji wanapandishwa daraja tuWatakakotoa za utendaji wa kata tujulishane plz
814 hazitoki kwa mkupuo kama afya na elimu. Ndo hizihizi mbili tatu zinazotoka na nyingine kupitia halmashauri mbalimbali.Wewe kama umepita SUA, na kozi yako imetokea kwenye Ile college yetu pendwa ya Agriculture basi unafiti.. Forest nadhani haiko college ya Agriculture. Kama mvumilivu Subiri zile 814 zikitoka
Sasa nambie huko Halmashauri ni Halmashauri gani zimetangazwa nafasi za maafisa Kilimo kama sio madereva, KATIBU mahsusi na watendaji..!!!814 hazitoki kwa mkupuo kama afya na elimu. Ndo hizihizi mbili tatu zinazotoka na nyingine kupitia halmashauri mbalimbali.
Duuh..kweli hatari yani nw days ni mwendo wa cheti na diploma kwa kazi za serikali.
Wenye digrii tuendelee kujiongeza kitaa.
#MaendeleoHayanaChama
Jaribu, unaweza kuitwa kwenye InterviewNina kacheti kangu apa cha ICT naweza nikaomba na nikapata nafasi
NTA level 5 ni Certificate na sio diploma
Ajira 1000+ za maafisa n.kView attachment 20222805402228TANGAZO LA KAZI -MDA's &LGA's MEI,2022.pdf814 hazitoki kwa mkupuo kama afya na elimu. Ndo hizihizi mbili tatu zinazotoka na nyingine kupitia halmashauri mbalimbali.
Watakuja kuuliza eti ambao hawajasoma, hii inawahusu au wakae kwa kutulia!!?Kweli Mama Samia anaupiga mwingi, Ajira zinazomwagwa Sasa hv na Halmashauri mbalimbali nchini ni kufuru yaan Kila Halmashauri Ajira kibao Watendaji wa mitaa, mabwana Shamba na mifugo, madereva, maafisa manunuzi. Tembeleeni tovuti za halmashauri mbalimbali ili mufahamu namna ya kuomba kazi hzi.
Kila la kheri JobSeekers.
Hadi Sasa Halmashauri zilizotangazwa Ajira ni kama ifuatavyo na bado Halmashauri zingine zinaendelea kutangaza.
Halmashauri ya Masasi mji.
Halmashauri ya Newala mji.
Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa.
Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino.
Halmashauri ya Wilaya ya Mtama.
Halmashauri ya Wilaya ya Rorya.
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Halmashauri wilaya ya Kondoa.
Ilemela Mwanza.
Tandahimba.