- Thread starter
- #21
Means walipotoka USS walikuja kuwa watawala wa waliowakuta na kujifanya wao Ni superior kuliko indigenous. Hayahaya ya watawala wetu kujifanya miungu watu!Ni Black Americans vs black Liberians Kama sikosei !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Means walipotoka USS walikuja kuwa watawala wa waliowakuta na kujifanya wao Ni superior kuliko indigenous. Hayahaya ya watawala wetu kujifanya miungu watu!Ni Black Americans vs black Liberians Kama sikosei !
Punguza chuki kwa mkuu wako wa nchiSamia na Kinana na wao wanafuata kutundikwa msalabani.
Wanakuwa wanajihisi ule msemo wa mlinzi mmakonde " ukimeza nchale ukitema nchale " !! Inakuwa ngumu kuachia !!Hivi Hawa akina Kagame, Museveni and many other African dictators hawana la kujifunza kutokana na historia halisi za juzi tu Kama hii!
Kama hayuko hivyo, apunguze chuki. Kama yuko hivyo, Basi achà amchukiePunguza chuki kwa mkuu wako wa nchi
Kwa madikiteita na miungu mtu ya africaHatari
Kuna muda ukitafakari ....kuishi hakuna thamaniNdio Hali Halisi ilitokea,zamani kulikuwa na ukatili mkubwa kuliko Kawaida.
Na wezi wa mali ya Umma nao malipo yao hano hano ? Au wao hawamo katika kundini ?? !!Samuel Doe nae alikufa Kinyama,kila ubaya malipo ni hano hano.
Mzee kifo ni jambo la lazima usijisahulishe...Ukiuwa kwa upanga nawe tarajia kuwawa kwa upanga, ni suala la muda tuu, yuku wapi jiwe aliye kuwa ana jisikia fahari na raha sana kuwamaliza wapinzani wake, upanga ule ule ulifanya kazi yake
Ukiamua kuishi simple life thamani ipo ! Lakini ukiamua kuishi highlife be prepared for the worse to come !!Kuna muda ukitafakari ....kuishi hakuna thamani
Kwa Wabongo wanaweza kuisha, unaua leo hamsini kesho wengine mia wanapiga, dawa ni kifungo na kufilisi.Na wezi wa mali ya Umma nao malipo yao hano hano ? Au wao hawamo katika kundini ?? !!
Hizi picha kila ninapoziona, huwa najiuliza kweli kuna Mungu?
Namna gani embu nifundishe,maanahuku mbeya mwez huu huu,Costa ya kwanza ilipitiwa na roli ilikuwa imebeba wafanya biashara wa mpunga wakielekea ubaruku wakafa watu 30 na kitu....juz Tena Costa ingine ilikuwa inaenda njombe imepigwa na roli inyala hapohapo katika watu 40 walipona 5 nao baadhi hawana viungo.Hiyo thamani ya maisha Iko wapiUkiamua kuishi simple life thamani ipo ! Lakini ukiamua kuishi highlife be prepared for the worse to come !!
Wewe wasema....unajua nimezipata wapi, inajuwaje Kama Nina access ya mitandaoJamaa unapenda mteremko sana. Hayo masuala yapo google hadi video zipo huko. Inaonekana unapenda sana kusimuliwa baadala ya kukusanya facts. Huyo ni Samuel Doe alipofanya mapinduzi aliwaua mawaziri waliokuwepo kwenye Serikali