mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
System ta Liberia [emoji1148] iliwatengeneza watu wawe zaidi ya wanyama,bila wao kujuaWaafrika ni wanyama mwitu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
System ta Liberia [emoji1148] iliwatengeneza watu wawe zaidi ya wanyama,bila wao kujuaWaafrika ni wanyama mwitu
Always huwa tunalaumu wengine lakini ukweli ni sisi wenyewe na low iq zetu.System ta Liberia [emoji1148] iliwatengeneza watu wawe zaidi ya wanyama,bila wao kujua
Ova
Always huwa tunalaumu wengine lakini ukweli ni sisi wenyewe na low iq zetu.
Kweli kabisa wazungu ni malaikaWaafrika ni wanyama mwitu
Kweli kabisa wazungu ni malaika
Mungu yupo,ila kumuelewa ndio mtihani.Hizi picha kila ninapoziona, huwa najiuliza kweli kuna Mungu?
Alivuna alichopanda yupo kuzimu anakula motoNa Samuel Doe alikuwa ni Dikteta hatari kabisa hadi umauti ulipomkuta,alipoingia mikononi mwa Rebel Prince Johnson na kuuwawa kwa kukatwakatwa huko Monrovia.
Ni kizazi cha waliokuwa watumwa wakarudishwa Africa na America Colonization Society na kuzaa taifa la Liberia 1847.Kwa hiyo ni weusi ila walijiona kama wako juu na ni bora kuliko wenyeji.LAKINI MBONA THESE BEING EXECUTED ARE BLACKS?
Naona malaika mnajadili, as long as kwenu kufa ni adhabu kwa watu waovu. Muishi mileleUkiuwa kwa upanga nawe tarajia kuwawa kwa upanga, ni suala la muda tuu, yuku wapi jiwe aliye kuwa ana jisikia fahari na raha sana kuwamaliza wapinzani wake, upanga ule ule ulifanya kazi yake
cc; BashiteKila ubaya Utalipwa
Hawa mimi huwa sipendi kabisa wajichanganye na raia wa kitanzania maana wata waambukiza ujinga.
Mliberia huyo akielezea maisha yalivyokuwa kipindi cha vita.
Huo ni ubaguzi sasaHawa mimi huwa sipendi kabisa wajichanganye na raia wa kitanzania maana wata waambukiza ujinga.
Unakumbuka hata wale raia wa Burundi wanakuja kuwafundisha raia wa Tanzania kuiba kwa silaha za moto wakati sio mambo yetu kabisa.
Kuna hawa raia wa Somalia nao ni hivyo hivyo wanawafundisha raia wa Tanzania ukatili. Si unaona yule dogo Hamza alichofanya na hana asilia ya hapa ana tabia za ajabu sana. Kiukweli sipendi kuchangamana na hawa watu wa hovyo wenye matabia ya hovyo.
Ningekuwa rais hawa watu ningewapa hifadhi ya muda tu waende kwengine au warudi makwao. Sitaki kuchanganya raia wangu na majitu yenye tabia za hovyo, ukatili, visasi, chuki, husuda, tamaa, kama majitu ya kongo, Rwanda, Somali na huko Liberia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamzunguziaje Aldof Hitler ambaye wewe unamwabudu kama binadamu kamiliwazungu sio malaika, bali binaadamu wakawaida kama binaadamu wengine, ila muafrika sio binaadamu kamili.
Wakifanya mema hawatasifiwa na kupendwa?Punguza chuki kwa mkuu wako wa nchi