Jamani hizi ndoto huwa Zina maana gani?

Jamani hizi ndoto huwa Zina maana gani?

Mbona unawaza negative mkuu🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓
Hapa tunazungumzia jini la kike hayo ya kiume hayo khaaaa si ndo uchawi wenyewe huo
ndio ujue vya majini tuwaachie majini kaka. Majini wana hulka za kibinadamu pia, wana kila aina ya tabia ambazo binadamu wanazo.

Hakuna jini litakalo kupa kitu bila ya wewe kutoa kitu, hata hao wanaosadikika kuwa majini mahaba. Atakupa mali lakini atachukua uhuru wako wa kuishi na kuenjoy hizo mali.
Kwa mwanaume kuna maana gani ya kuwa na pesa bila kuweza kuchakata papuchi tofauti. Ukiwa na jini hata ukifikiria demu mwingine tu anajua maana anakuwa anaishi ndani yako.
 
Sasa niendelee kusikilizia ama niende Moja kwa Moja nimtongoze?
Akija ndotoni wee mpe sapport na unapokua unaongea na mtu kuhusu hiki kitu onesha kuwa umefurahishwa hivo na yeye atajua fika kuwa muhuni umeelewa pigo zake..
Hivo atafnya kuja hata ukilala mchana wee unajilia mzigo imeisha hiyo..
Na unaweza kuongea nae kuwa ajaribu kuja katika sura inayoeleweka its possible
 
Akija ndotoni wee mpe sapport na unapokua unaongea na mtu kuhusu hiki kitu onesha kuwa umefurahishwa hivo na yeye atajua fika kuwa muhuni umeelewa pigo zake..
Hivo atafnya kuja hata ukilala mchana wee unajilia mzigo imeisha hiyo..
Na unaweza kuongea nae kuwa ajaribu kuja katika sura inayoeleweka its possible
Mkuu mbona Kama sijakuelewa vizuri hapa
 
ndio ujue vya majini tuwaachie majini kaka. Majini wana hulka za kibinadamu pia, wana kila aina ya tabia ambazo binadamu wanazo.

Hakuna jini litakalo kupa kitu bila ya wewe kutoa kitu, hata hao wanaosadikika kuwa majini mahaba. Atakupa mali lakini atachukua uhuru wako wa kuishi na kuenjoy hizo mali.
Kwa mwanaume kuna maana gani ya kuwa na pesa bila kuweza kuchakata papuchi tofauti. Ukiwa na jini hata ukifikiria demu mwingine tu anajua maana anakuwa anaishi ndani yako.
Kuna kitu naelewa kuhusu majini kuwa ameumbwa kwa moto hivo ana uwezo wa kujibadilisha kwa anavotaka
Oky hapo kwenye kujibadilisha relate na kuchakata mbususus tofauti tofauti huoni hapo mambo yanakuwa bull bull
 
Kuna kitu naelewa kuhusu majini kuwa ameumbwa kwa moto hivo ana uwezo wa kujibadilisha kwa anavotaka
Oky hapo kwenye kujibadilisha relate na kuchakata mbususus tofauti tofauti huoni hapo mambo yanakuwa bull bull
mambo bull bull mpaka pale utakapotaka kuchakata papuchi nyingine.

anaweza mbadilisha demu uanemchakata kuwa na sura ya bambo au kingwendu. sasa jiulize kama utaendelea na hapo raha ya maisha iko wapi.

Unapiga zako tako demu anakwambia hino hino 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom