Jamani hizi ndoto huwa Zina maana gani?

Jamani hizi ndoto huwa Zina maana gani?

Akija ndotoni wee mpe sapport na unapokua unaongea na mtu kuhusu hiki kitu onesha kuwa umefurahishwa hivo na yeye atajua fika kuwa muhuni umeelewa pigo zake..
Hivo atafnya kuja hata ukilala mchana wee unajilia mzigo imeisha hiyo..
Na unaweza kuongea nae kuwa ajaribu kuja katika sura inayoeleweka its possible
Duh! We kweli poor brain, Yani kwenye ndoto mtu unaweza kuamua ufanye kitendo kipi?
 
Mbona unawaza negative mkuu[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Hapa tunazungumzia jini la kike hayo ya kiume hayo khaaaa si ndo uchawi wenyewe huo
Sasa kama ww unapenda mserereko wa kutambalishiwa kambare unataka mwanamke wa kazi gan[emoji2]
 
Kuna muda unaweza kuota ndoto zingine za ajabu Sana mpaka ukaanza kujiuliza imekuwaje kuwaje mpaka ukaota ndoto ya hivi?

Imagine unaota unafanya mapenzi na mtu unayemheshimu Sana.Anaweza kuwa boss wako,mwalimu wako au mke wa mtu na unamheshimu Sana,Yaani Sana tu na hujawahi fikiria hata siku Moja kwamba unaweza mtamani kingono ama kumtongoza.Yaani heshima yako kwake Ni imetukuka Hadi mwenyewe anajua unamheshimu Kweli.

Mimi binafsi imeshawahi nitokea Mara kadhaa najikuta nafanya mapenzi au romance au kutongozana na mtu ninayemheshimu Sana.

Sio kwamba huwa nawatamani kingono na Wala sijawahi fikiria kuwatongoza.Uhusiano wetu Ni wa kawaida tu Yaani tukikutana huwa tunapiga story za kawaida.

Sijui Kama na nyinyi mnaotaga ndoto za hivi ama Ni Mimi pekee yangu tu wakuu?

And how can you interpret these dreams?
Na miaka hii maisha yamekaza bado mtu unaota mapenzi 😒
 
Kuna muda unaweza kuota ndoto zingine za ajabu Sana mpaka ukaanza kujiuliza imekuwaje kuwaje mpaka ukaota ndoto ya hivi?

Imagine unaota unafanya mapenzi na mtu unayemheshimu Sana.Anaweza kuwa boss wako,mwalimu wako au mke wa mtu na unamheshimu Sana,Yaani Sana tu na hujawahi fikiria hata siku Moja kwamba unaweza mtamani kingono ama kumtongoza.Yaani heshima yako kwake Ni imetukuka Hadi mwenyewe anajua unamheshimu Kweli.

Mimi binafsi imeshawahi nitokea Mara kadhaa najikuta nafanya mapenzi au romance au kutongozana na mtu ninayemheshimu Sana.

Sio kwamba huwa nawatamani kingono na Wala sijawahi fikiria kuwatongoza.Uhusiano wetu Ni wa kawaida tu Yaani tukikutana huwa tunapiga story za kawaida.

Sijui Kama na nyinyi mnaotaga ndoto za hivi ama Ni Mimi pekee yangu tu wakuu?

And how can you interpret these dreams?
Hao ni majini mahaba wanakujia kwa sura za hao unaowaheshimu, wakemee kwa imani yako.
 
Unapoota unafanya mapenzi na MTU ambae katika hali ya kawaida usingeweza kufanya hivyo hats kumtamani isingewezekana, tafsiri yake in hii:

1: Huyo unaemuota inawezekana ana tabia zinazofanana na mpenzi wako halisi.

2:unaweza hata ukaota umefanya mapenzi na mama yako mzazi, hasa inapotokea katika maisha halisi unampenda sana mama yako mzazi na mkeo pia unampenda sana na yapo mambo ambayo ulipokuwa mdogo mama yako alikufanyia na ulipooa mkeo nae pia anakufanyia, kwa mfano mama yako alikua anakudekeza sana na ukaoa mke anaekudekeza pia.
 
Kuna muda unaweza kuota ndoto zingine za ajabu Sana mpaka ukaanza kujiuliza imekuwaje kuwaje mpaka ukaota ndoto ya hivi?

Imagine unaota unafanya mapenzi na mtu unayemheshimu Sana.Anaweza kuwa boss wako,mwalimu wako au mke wa mtu na unamheshimu Sana,Yaani Sana tu na hujawahi fikiria hata siku Moja kwamba unaweza mtamani kingono ama kumtongoza.Yaani heshima yako kwake Ni imetukuka Hadi mwenyewe anajua unamheshimu Kweli.

Mimi binafsi imeshawahi nitokea Mara kadhaa najikuta nafanya mapenzi au romance au kutongozana na mtu ninayemheshimu Sana.

Sio kwamba huwa nawatamani kingono na Wala sijawahi fikiria kuwatongoza.Uhusiano wetu Ni wa kawaida tu Yaani tukikutana huwa tunapiga story za kawaida.

Sijui Kama na nyinyi mnaotaga ndoto za hivi ama Ni Mimi pekee yangu tu wakuu?

And how can you interpret these dreams?

Ina maanisha huyo unayemuheshimu anakutamani bila wewe kujua hiyo ndoto ndio inakupa Siri hiyo. Mimi imewahi kunitokea, kwa mmama ana cheo kikubwa nikashangaa nimefikaje huku?.

Siku moja Kuna siku nikakutana na huyo mama tukasalimiana akanishika mkono na kuanza kunipapasa kama kimahaba, ndipo nikagundua. Ningekuwa mzinzi ningeanza mahusiano. Saa zingine ndoto Zina kualert kuhusu baadhi ya mambo.
 
Back
Top Bottom