Jamani hizi ndoto huwa Zina maana gani?

Jamani hizi ndoto huwa Zina maana gani?

mambo bull bull mpaka pale utakapotaka kuchakata papuchi nyingine.

anaweza mbadilisha demu uanemchakata kuwa na sura ya bambo au kingwendu. sasa jiulize kama utaendelea na hapo raha ya maisha iko wapi.

Unapiga zako tako demu anakwambia hino hino 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Wee furaha yako kuchakata mbususu tofauti tofauti..
Oky kuna huyu mwingine furaha yake kutumia tuu
Kuna huyu mwingine furaha yake ndo hivo kuchakata anytime japo hiyo hiyo moja inatosha....
In reality hata wewe unaweza kataa hiyo chance...
 
Hi kama haijakukuta utaleta masihara na itakuwa inakuchekesha sanaaa,ila Muombe Munu wako yasikukute dunia utaiyona chungu.
Yaaani ya kuota unaliwa au..?
Sasa si ndoto..
Ndoto inabaki kuwa ndoto tu..

Eeh Mungu niepushie mbali kabisa
 
Maana yake ni kuwa mnapeana vitu au siri na ni watu mnaokubaliana na kushauriana kwa mawazo. Yamkini mambo yako ya ndan au yake akakushirikisha au ukamshitikisha mtu huyo na ukawa na amani nae. Hiyo ndo maana yake mkuu. Yesu ni rafik yako jitunze Mambo hayo hayaendi hovyo hovyo kama hujaokoka basi siku inakuja we sio wa dunia hii
 
Kuna muda unaweza kuota ndoto zingine za ajabu Sana mpaka ukaanza kujiuliza imekuwaje kuwaje mpaka ukaota ndoto ya hivi?

Imagine unaota unafanya mapenzi na mtu unayemheshimu Sana.Anaweza kuwa boss wako,mwalimu wako au mke wa mtu na unamheshimu Sana,Yaani Sana tu na hujawahi fikiria hata siku Moja kwamba unaweza mtamani kingono ama kumtongoza.Yaani heshima yako kwake Ni imetukuka Hadi mwenyewe anajua unamheshimu Kweli.

Mimi binafsi imeshawahi nitokea Mara kadhaa najikuta nafanya mapenzi au romance au kutongozana na mtu ninayemheshimu Sana.
Sio kwamba huwa nawatamani kingono na Wala sijawahi fikiria kuwatongoza.Uhusiano wetu Ni wa kawaida tu Yaani tukikutana huwa tunapiga story za kawaida.

Sijui Kama na nyinyi mnaotaga ndoto za hivi ama Ni Mimi pekee yangu tu wakuu?

And how can you interpret these dreams?
Japo sijui imani yako ni ipi ila nitaliongelea kiroho zaidi kwasababu hapa jukwaani wapo watu wa aina mbalimbali;waaminio na wasioamini. Hivyo ushauri wao utakuja wa aina nyingi kutokana na kila mtu anavyojua.

Imeandikwa "mtu aziniye na mwanamke hana akili kwani hufanya jambo la kuiangamiza nafsi yake mwenyewe "

Kwanini hana akili? Kwasababu anafanya kitu ambacho kinayagharimu maisha yake, kinaharibu maisha yake ya asili na kuharibu uhusiano wake na Mungu.

Adui hawezi kuja kukuibia kitu chako cha thamani pasipo kuharibu kwanza kinga yako au ulinzi atakaoukuta kwako.

Nafsi ni wewe ulivyo ndani.

Nafsi ndio inayotunza roho yako.

Roho yako ndio uhai wako. Humo ndani ndimo kuna vitu vya kiroho ambavyo vimebeba future yako.

Hakuna jambo linalotokea mwilini pasipo kuanzia kwenye rohoni. Matendo ya mwili yanaanzia rohoni. Kumbuka roho ni ulimwengu wa siri usionekana kwa macho ya damu na nyama lakini ni halisi.

Sasa basi kuna watu unaowajua au huwajui wanakuibia vitu vyako vya rohoni kwa kuiharibu nafsi yako kwa kuwekewa roho ya uzinzi, wanakutumia roho ya mauti ili ufe kiroho halafu wakuibie vitu vyako. Mfano nyota, huenda una nyota ya biashara, kazi, elimu, siasa na uongozi n.k

Hao unaowaona na kuwatambua wanaweza kuwa ni wao au wamevishwa sura zao ili kukupoteza maboya na wasijulikane.

Chunguza kwenu unaweza kukuta nyumbani kwenu kuna madhabahu ya uzinzi, kwahiyo wanapitia hapo hapo.

Lakini mara nyingi ukiota unafanya mapenzi na ndugu yako au mtu wako wa karibu jua kwamba kuna mtu ndani ya familia au mtu wa karibu yako amekutumia roho ya mauti.

Unajua mtu akiwa amekufa anakuwa hawezi kufanya chochote wala kumiliki kitu chochote, kwahiyo ni lazima ufe kwanza ndipo uibiwe kile ulichonacho. Iwe kiroho au kimwili.

Unaweza kufa kiroho ukaishi kimwili lakini maisha yako hayatakuwa sawasaw na ya wengine, utaishi kwa kustruggle sana.

Je, unapoota ndoto za namna hii, ni mambo gani huwa yanabuma au unapata shida sana kuyakamilisha? Chunguza kwenye maisha yako.

Nini kifanyike. Jibu ni MAOMBI,MAOMBI,OMBA KWA KUMAANISHA [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
 
Japo sijui imani yako ni ipi ila nitaliongelea kiroho zaidi kwasababu hapa jukwaani wapo watu wa aina mbalimbali;waaminio na wasioamini. Hivyo ushauri wao utakuja wa aina nyingi kutokana na kila mtu anavyojua.

Imeandikwa "mtu aziniye na mwanamke hana akili kwani hufanya jambo la kuiangamiza nafsi yake mwenyewe "

Kwanini hana akili? Kwasababu anafanya kitu ambacho kinayagharimu maisha yake, kinaharibu maisha yake ya asili na kuharibu uhusiano wake na Mungu.

Adui hawezi kuja kukuibia kitu chako cha thamani pasipo kuharibu kwanza kinga yako au ulinzi atakaoukuta kwako.

Nafsi ni wewe ulivyo ndani.

Nafsi ndio inayotunza roho yako.

Roho yako ndio uhai wako. Humo ndani ndimo kuna vitu vya kiroho ambavyo vimebeba future yako.

Hakuna jambo linalotokea mwilini pasipo kuanzia kwenye rohoni. Matendo ya mwili yanaanzia rohoni. Kumbuka roho ni ulimwengu wa siri usionekana kwa macho ya damu na nyama lakini ni halisi.

Sasa basi kuna watu unaowajua au huwajui wanakuibia vitu vyako vya rohoni kwa kuiharibu nafsi yako kwa kuwekewa roho ya uzinzi, wanakutumia roho ya mauti ili ufe kiroho halafu wakuibie vitu vyako. Mfano nyota, huenda una nyota ya biashara, kazi, elimu, siasa na uongozi n.k

Hao unaowaona na kuwatambua wanaweza kuwa ni wao au wamevishwa sura zao ili kukupoteza maboya na wasijulikane.

Chunguza kwenu unaweza kukuta nyumbani kwenu kuna madhabahu ya uzinzi, kwahiyo wanapitia hapo hapo.

Lakini mara nyingi ukiota unafanya mapenzi na ndugu yako au mtu wako wa karibu jua kwamba kuna mtu ndani ya familia au mtu wa karibu yako amekutumia roho ya mauti.

Unajua mtu akiwa amekufa anakuwa hawezi kufanya chochote wala kumiliki kitu chochote, kwahiyo ni lazima ufe kwanza ndipo uibiwe kile ulichonacho. Iwe kiroho au kimwili.

Unaweza kufa kiroho ukaishi kimwili lakini maisha yako hayatakuwa sawasaw na ya wengine, utaishi kwa kustruggle sana.

Je, unapoota ndoto za namna hii, ni mambo gani huwa yanabuma au unapata shida sana kuyakamilisha? Chunguza kwenye maisha yako.

Nini kifanyike. Jibu ni MAOMBI,MAOMBI,OMBA KWA KUMAANISHA [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
Duh! Umetema madini Sana mkuu, ahsante sana kwa kunifumbua macho mkuu
 
RAYMANU254
SPIRITUAL HUSBANDS AN WIVES.

Nataka kuzungumzia somo linalohusu MAJINI MAHABA, kuhusu majini Mahaba kwa Sasa limekuwa tatizo katika jamii yetu.

Kwanza Kabisa tambua kuwa hizi roho zimegawanyika katika makundi matatu.
1-Zinazokuwa kama wanaume
2-Zinazokuwa kama wanawake
3-Zinazokuwa kama watoto.

-Zinazokuwa kama mwanaume hupenda kukaa wa binadamu wanawake,

-Zinazokuwa kama wanawake hupenda kukaa kwa wanadamu Wanaume.

-Watoto huwa ni matokeo ya hizo zote mbili baada ya kukaa kwa mwanadamu, Hivyo zinazokuwa kama watoto hukaa kote yaani kwa WANAWAKE na WANAUME.

Kuna Sababu kadhaa zinazopelekea Mtu kuvamiwa na hizi Roho.

Kuna Sababu kadhaa zinazopelekea Mtu kuvamiwa na hizi Roho.

Kwanza kabisa unapaswa kuelewa kuwa hizi Roho hulenga mahusiano katika maisha ya mwanadamu..

Haya nifuatilia sasa 👇👇👇

SABABU YA HIZI ROHO KUVAMIA MAISHA YA MWANADAMU.
1- Kupenda- Hizi Roho huwa na hisia za kupenda kama ilivyo kwa Mwanadamu, Zinaweza kumpenda mtu na kuamua kuanzia Mahusiano na mtu bila ridhaa ya mtu au bila hata mtu mwenyewe kujua.

Zinaanzisha mahusiano, Kama ni mwanaume zinataka ziwr MKE na kama ni mwanamke huja MUME.

Hii huweza kumtoke mtu hata akiwa anatembea tu hata amekaa akahisi kama kitu kimemvaa. Au Mtu huyu akaota kama anafunga ndoa.

2- Kupitia Ushirikina/Kurogwa- Yaani mtu anaweza kutaka kuharibu mahusiano au Ndoa ya mtu, Anaenda kwa mganga kisha mganga hutuma jina mahaba la kike kwa Mwanaume kama mke au la kiume kwa mwanamke kama mume. Yaani unaozesha bila wewe kujua ili tu mahusiano yako ya kimwili yaharibike.

3- Kwa Njia ya KURITHI.
Kwanza nataka ujue kuwa kibiblia WAZAZI ndo walikuwa Makuhani wa familia zao. Mfano; Ibrahimu muwe wa Isaka, Ayubu, Labani baba yao kina Rachel na Rebecca.

Sasa wazazi na wazee wa ukoo husikilizwa katika wanapoenda kwa Mungu au miungu kw ajili ya Ukoo au familia zao.

Sasa kwa Mila zetu kuna wakati wazee huenda katika mito na milima kuzungumza na hizi ili kukabidha uzao wao mfano; Wanaweza kusema "watoto wote wa kike watakao zaliwa watakuwa WAKE WENU". Sasa hata kama hayo maneno yatasema ukiwa hujazaliwa basi ujue hizo zitafuatilia kizazi hadi kizazi na zitakufikia na kukumiliki tu. Na zitakufuata kwa kuwa tu umezaliwa katika huo ukoo...

4- Kwa njia ya mtu kufanya mapenzi na mtu Pepo mahaba.

Biblia inasema "Aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja nae" 1Kor 16

Ndio maana kuna watu baada ya kushiriki kimwili na watu fulani Mambo yakiharibika sana, Wengine baada tu kushiki mapenzi na watu fulani hadi leo hawezi kudumu katika mahusiano ina maana hizi Roho huwa zinahama kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
 
RAYMANU254
SPIRITUAL HUSBANDS AN WIVES.

Nataka kuzungumzia somo linalohusu MAJINI MAHABA, kuhusu majini Mahaba kwa Sasa limekuwa tatizo katika jamii yetu.

Kwanza Kabisa tambua kuwa hizi roho zimegawanyika katika makundi matatu.
1-Zinazokuwa kama wanaume
2-Zinazokuwa kama wanawake
3-Zinazokuwa kama watoto.

-Zinazokuwa kama mwanaume hupenda kukaa wa binadamu wanawake,

-Zinazokuwa kama wanawake hupenda kukaa kwa wanadamu Wanaume.

-Watoto huwa ni matokeo ya hizo zote mbili baada ya kukaa kwa mwanadamu, Hivyo zinazokuwa kama watoto hukaa kote yaani kwa WANAWAKE na WANAUME.

Kuna Sababu kadhaa zinazopelekea Mtu kuvamiwa na hizi Roho.

Kuna Sababu kadhaa zinazopelekea Mtu kuvamiwa na hizi Roho.

Kwanza kabisa unapaswa kuelewa kuwa hizi Roho hulenga mahusiano katika maisha ya mwanadamu..

Haya nifuatilia sasa 👇👇👇

SABABU YA HIZI ROHO KUVAMIA MAISHA YA MWANADAMU.
1- Kupenda- Hizi Roho huwa na hisia za kupenda kama ilivyo kwa Mwanadamu, Zinaweza kumpenda mtu na kuamua kuanzia Mahusiano na mtu bila ridhaa ya mtu au bila hata mtu mwenyewe kujua.

Zinaanzisha mahusiano, Kama ni mwanaume zinataka ziwr MKE na kama ni mwanamke huja MUME.

Hii huweza kumtoke mtu hata akiwa anatembea tu hata amekaa akahisi kama kitu kimemvaa. Au Mtu huyu akaota kama anafunga ndoa.

2- Kupitia Ushirikina/Kurogwa- Yaani mtu anaweza kutaka kuharibu mahusiano au Ndoa ya mtu, Anaenda kwa mganga kisha mganga hutuma jina mahaba la kike kwa Mwanaume kama mke au la kiume kwa mwanamke kama mume. Yaani unaozesha bila wewe kujua ili tu mahusiano yako ya kimwili yaharibike.

3- Kwa Njia ya KURITHI.
Kwanza nataka ujue kuwa kibiblia WAZAZI ndo walikuwa Makuhani wa familia zao. Mfano; Ibrahimu muwe wa Isaka, Ayubu, Labani baba yao kina Rachel na Rebecca.

Sasa wazazi na wazee wa ukoo husikilizwa katika wanapoenda kwa Mungu au miungu kw ajili ya Ukoo au familia zao.

Sasa kwa Mila zetu kuna wakati wazee huenda katika mito na milima kuzungumza na hizi ili kukabidha uzao wao mfano; Wanaweza kusema "watoto wote wa kike watakao zaliwa watakuwa WAKE WENU". Sasa hata kama hayo maneno yatasema ukiwa hujazaliwa basi ujue hizo zitafuatilia kizazi hadi kizazi na zitakufikia na kukumiliki tu. Na zitakufuata kwa kuwa tu umezaliwa katika huo ukoo...

4- Kwa njia ya mtu kufanya mapenzi na mtu Pepo mahaba.

Biblia inasema "Aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja nae" 1Kor 16

Ndio maana kuna watu baada ya kushiriki kimwili na watu fulani Mambo yakiharibika sana, Wengine baada tu kushiki mapenzi na watu fulani hadi leo hawezi kudumu katika mahusiano ina maana hizi Roho huwa zinahama kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
 
Hizi ndoto zilinitesa sana, naujua mchongo mwanzo mwisho. Si ndoto za kupuuza hata kidogo.

Nimewaona watu wakisema, ukimpenda au akikupenda basi kimaisha umetoboa. Ni kweli lkn maisha yenye mateso na mwisho wake ni kwenye lileshimo la moto. Naongea na mtu ambaye Roho Mtakatifu yuko ndani yake.

Ndani ya mbegu za mwanamme kuna siri kubwa sana kwenye ulimwengu wa roho.

Huyo anayetafuta kubeba mbegu zako anaweza kufanya yafuatayo akiwa na hizo spam zako.
Anaweza kuzuia uzazi wako yaani usizalishe au usizae kbs.
Anaweza kuyadhibiti maisha yako popote pale.
Anaweza kuzima ndoto zako na za watoto wako kama atakuacha upate watoto.
Atakuingizia magonjwa.
Utajawa na chuki na hasira mkizi juu ya watu.
Utajitenga na watu.
Atateka hisia zako
Basi na mambo mengi tu.

Funguka na hiyo sio roho unaweza kupambana nayo kirahisi. Ikiota mizizi bro, jiandae kwa umaskini.
Never entertain evil spirits in your life. One rule, to drive them out of our bodies, for we are the holy temple of Holy Spirit.
Kasome biblia yako vizuri. 2Kor 6:14-18
 
RAYMANU254
SPIRITUAL HUSBANDS AN WIVES.

Nataka kuzungumzia somo linalohusu MAJINI MAHABA, kuhusu majini Mahaba kwa Sasa limekuwa tatizo katika jamii yetu.

Kwanza Kabisa tambua kuwa hizi roho zimegawanyika katika makundi matatu.
1-Zinazokuwa kama wanaume
2-Zinazokuwa kama wanawake
3-Zinazokuwa kama watoto.

-Zinazokuwa kama mwanaume hupenda kukaa wa binadamu wanawake,

-Zinazokuwa kama wanawake hupenda kukaa kwa wanadamu Wanaume.

-Watoto huwa ni matokeo ya hizo zote mbili baada ya kukaa kwa mwanadamu, Hivyo zinazokuwa kama watoto hukaa kote yaani kwa WANAWAKE na WANAUME.

Kuna Sababu kadhaa zinazopelekea Mtu kuvamiwa na hizi Roho.

Kuna Sababu kadhaa zinazopelekea Mtu kuvamiwa na hizi Roho.

Kwanza kabisa unapaswa kuelewa kuwa hizi Roho hulenga mahusiano katika maisha ya mwanadamu..

Haya nifuatilia sasa 👇👇👇

SABABU YA HIZI ROHO KUVAMIA MAISHA YA MWANADAMU.
1- Kupenda- Hizi Roho huwa na hisia za kupenda kama ilivyo kwa Mwanadamu, Zinaweza kumpenda mtu na kuamua kuanzia Mahusiano na mtu bila ridhaa ya mtu au bila hata mtu mwenyewe kujua.

Zinaanzisha mahusiano, Kama ni mwanaume zinataka ziwr MKE na kama ni mwanamke huja MUME.

Hii huweza kumtoke mtu hata akiwa anatembea tu hata amekaa akahisi kama kitu kimemvaa. Au Mtu huyu akaota kama anafunga ndoa.

2- Kupitia Ushirikina/Kurogwa- Yaani mtu anaweza kutaka kuharibu mahusiano au Ndoa ya mtu, Anaenda kwa mganga kisha mganga hutuma jina mahaba la kike kwa Mwanaume kama mke au la kiume kwa mwanamke kama mume. Yaani unaozesha bila wewe kujua ili tu mahusiano yako ya kimwili yaharibike.

3- Kwa Njia ya KURITHI.
Kwanza nataka ujue kuwa kibiblia WAZAZI ndo walikuwa Makuhani wa familia zao. Mfano; Ibrahimu muwe wa Isaka, Ayubu, Labani baba yao kina Rachel na Rebecca.

Sasa wazazi na wazee wa ukoo husikilizwa katika wanapoenda kwa Mungu au miungu kw ajili ya Ukoo au familia zao.

Sasa kwa Mila zetu kuna wakati wazee huenda katika mito na milima kuzungumza na hizi ili kukabidha uzao wao mfano; Wanaweza kusema "watoto wote wa kike watakao zaliwa watakuwa WAKE WENU". Sasa hata kama hayo maneno yatasema ukiwa hujazaliwa basi ujue hizo zitafuatilia kizazi hadi kizazi na zitakufikia na kukumiliki tu. Na zitakufuata kwa kuwa tu umezaliwa katika huo ukoo...

4- Kwa njia ya mtu kufanya mapenzi na mtu Pepo mahaba.

Biblia inasema "Aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja nae" 1Kor 16

Ndio maana kuna watu baada ya kushiriki kimwili na watu fulani Mambo yakiharibika sana, Wengine baada tu kushiki mapenzi na watu fulani hadi leo hawezi kudumu katika mahusiano ina maana hizi Roho huwa zinahama kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Nashukuru Sana mkuu kwa kunielimisha.Nitaufanyia kazi ushauri wako.
 
Kuna muda unaweza kuota ndoto zingine za ajabu Sana mpaka ukaanza kujiuliza imekuwaje kuwaje mpaka ukaota ndoto ya hivi?

Imagine unaota unafanya mapenzi na mtu unayemheshimu Sana.Anaweza kuwa boss wako,mwalimu wako au mke wa mtu na unamheshimu Sana,Yaani Sana tu na hujawahi fikiria hata siku Moja kwamba unaweza mtamani kingono ama kumtongoza.Yaani heshima yako kwake Ni imetukuka Hadi mwenyewe anajua unamheshimu Kweli.

Mimi binafsi imeshawahi nitokea Mara kadhaa najikuta nafanya mapenzi au romance au kutongozana na mtu ninayemheshimu Sana.
Sio kwamba huwa nawatamani kingono na Wala sijawahi fikiria kuwatongoza.Uhusiano wetu Ni wa kawaida tu Yaani tukikutana huwa tunapiga story za kawaida.

Sijui Kama na nyinyi mnaotaga ndoto za hivi ama Ni Mimi pekee yangu tu wakuu?

And how can you interpret these dreams?
Ndoto hutokana na msongo wa mawazo yanayo zunguka kichwani kwako. Ndoto ni sehemu ya ubongo kufanya rebuild up. Kwahiyo mtoa mada acha kutuongopea eti huwatamani
 
Back
Top Bottom