999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 758
- 1,372
Duh! We kweli poor brain, Yani kwenye ndoto mtu unaweza kuamua ufanye kitendo kipi?Akija ndotoni wee mpe sapport na unapokua unaongea na mtu kuhusu hiki kitu onesha kuwa umefurahishwa hivo na yeye atajua fika kuwa muhuni umeelewa pigo zake..
Hivo atafnya kuja hata ukilala mchana wee unajilia mzigo imeisha hiyo..
Na unaweza kuongea nae kuwa ajaribu kuja katika sura inayoeleweka its possible
Mkuu umeua kabisa,unataka wale mario waishi vp[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]kuna raha nyingine hugeuka kuwa karaha. Imagine umepata jini mahaba la kiume halafu basha. Sasa hapo hata akikupa kila kitu kwa mtoto wa kiume una raha gani?
Sasa kama ww unapenda mserereko wa kutambalishiwa kambare unataka mwanamke wa kazi gan[emoji2]Mbona unawaza negative mkuu[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Hapa tunazungumzia jini la kike hayo ya kiume hayo khaaaa si ndo uchawi wenyewe huo
Ujawahi kuwa ndotoni.. but ukawa unajua kuwa unaotaDuh! We kweli poor brain, Yani kwenye ndoto mtu unaweza kuamua ufanye kitendo kipi?
Nazungumzia majini ya kike...Sasa kama ww unapenda mserereko wa kutambalishiwa kambare unataka mwanamke wa kazi gan[emoji2]
Na miaka hii maisha yamekaza bado mtu unaota mapenzi 😒Kuna muda unaweza kuota ndoto zingine za ajabu Sana mpaka ukaanza kujiuliza imekuwaje kuwaje mpaka ukaota ndoto ya hivi?
Imagine unaota unafanya mapenzi na mtu unayemheshimu Sana.Anaweza kuwa boss wako,mwalimu wako au mke wa mtu na unamheshimu Sana,Yaani Sana tu na hujawahi fikiria hata siku Moja kwamba unaweza mtamani kingono ama kumtongoza.Yaani heshima yako kwake Ni imetukuka Hadi mwenyewe anajua unamheshimu Kweli.
Mimi binafsi imeshawahi nitokea Mara kadhaa najikuta nafanya mapenzi au romance au kutongozana na mtu ninayemheshimu Sana.
Sio kwamba huwa nawatamani kingono na Wala sijawahi fikiria kuwatongoza.Uhusiano wetu Ni wa kawaida tu Yaani tukikutana huwa tunapiga story za kawaida.
Sijui Kama na nyinyi mnaotaga ndoto za hivi ama Ni Mimi pekee yangu tu wakuu?
And how can you interpret these dreams?
We jamaa maisha yakiwa magumu kwenu/ kwako usidhani yapo hivyo kwa kila mtuNa miaka hii maisha yamekaza bado mtu unaota mapenzi 😒
Hao ni majini mahaba wanakujia kwa sura za hao unaowaheshimu, wakemee kwa imani yako.Kuna muda unaweza kuota ndoto zingine za ajabu Sana mpaka ukaanza kujiuliza imekuwaje kuwaje mpaka ukaota ndoto ya hivi?
Imagine unaota unafanya mapenzi na mtu unayemheshimu Sana.Anaweza kuwa boss wako,mwalimu wako au mke wa mtu na unamheshimu Sana,Yaani Sana tu na hujawahi fikiria hata siku Moja kwamba unaweza mtamani kingono ama kumtongoza.Yaani heshima yako kwake Ni imetukuka Hadi mwenyewe anajua unamheshimu Kweli.
Mimi binafsi imeshawahi nitokea Mara kadhaa najikuta nafanya mapenzi au romance au kutongozana na mtu ninayemheshimu Sana.
Sio kwamba huwa nawatamani kingono na Wala sijawahi fikiria kuwatongoza.Uhusiano wetu Ni wa kawaida tu Yaani tukikutana huwa tunapiga story za kawaida.
Sijui Kama na nyinyi mnaotaga ndoto za hivi ama Ni Mimi pekee yangu tu wakuu?
And how can you interpret these dreams?
Hongera sana kwa nafasi hio uotaji mapenzi.We jamaa maisha yakiwa magumu kwenu/ kwako usidhani yapo hivyo kwa kila mtu
😏Hongera sana kwa nafasi hio uotaji mapenzi.
😄Sa hapo unaota au unawaza??Ujawahi kuwa ndotoni.. but ukawa unajua kuwa unaota
Ahahahahah ujawahi kuwa ndotoni...😄Sa hapo unaota au unawaza??
Hiyo ipo, ila hiyo ni ndoto ndo ilivyo kuja Kwa siku hiyoAhahahahah ujawahi kuwa ndotoni...
Then kutokana na matukio unayopitia ukawa unajiuliza "" au hapa nipo ndotoni"""
Kama mm sasa hivi nina uwezo wa kucotrol ndoto zangu[emoji2]Ahahahahah ujawahi kuwa ndotoni...
Then kutokana na matukio unayopitia ukawa unajiuliza "" au hapa nipo ndotoni"""
Kuna muda unaweza kuota ndoto zingine za ajabu Sana mpaka ukaanza kujiuliza imekuwaje kuwaje mpaka ukaota ndoto ya hivi?
Imagine unaota unafanya mapenzi na mtu unayemheshimu Sana.Anaweza kuwa boss wako,mwalimu wako au mke wa mtu na unamheshimu Sana,Yaani Sana tu na hujawahi fikiria hata siku Moja kwamba unaweza mtamani kingono ama kumtongoza.Yaani heshima yako kwake Ni imetukuka Hadi mwenyewe anajua unamheshimu Kweli.
Mimi binafsi imeshawahi nitokea Mara kadhaa najikuta nafanya mapenzi au romance au kutongozana na mtu ninayemheshimu Sana.
Sio kwamba huwa nawatamani kingono na Wala sijawahi fikiria kuwatongoza.Uhusiano wetu Ni wa kawaida tu Yaani tukikutana huwa tunapiga story za kawaida.
Sijui Kama na nyinyi mnaotaga ndoto za hivi ama Ni Mimi pekee yangu tu wakuu?
And how can you interpret these dreams?