Jamani Husninyo anatafuta mchumba

mama hapa umefika, sifa zote ninazo, nami nimekuwa mpweke siku nyingi nazani tutaendana ngoja ni ku pm

karibu sana konar ila usije kula kona ukaniacha kwenye mataa mwenzio.
 
Last edited by a moderator:
Ngoja niingie PM nisije kosa expert bure....Unikonside tafadhali

wewe tuma cv yako kwa lawyer wangu EMT moja kwa moja maana nshaona una makelele sana. lol
 
Last edited by a moderator:
Reactions: EMT
Husninyo unakubali kua mke wa tatu? Naweza kuongea na wife sasaivi
 
Last edited by a moderator:
shosti....nipo hapa kuandaa bridal shower........
ila kuwa makini.....kuna mabazazi humu.....ukiona mtu humuelewi nisogezee.....nikushushie CV.....:smile-big:

Wewe unataka kuharibu dili sasa.....hutaki watu tulambe dreadwoman nini? Kuwa makini kuna makauzu hata masterling wanatulizwa chezeiya!!
 
shosti....nipo hapa kuandaa bridal shower........
ila kuwa makini.....kuna mabazazi humu.....ukiona mtu humuelewi nisogezee.....nikushushie CV.....:smile-big:
Hebu muulize huyo Husninyo kama sisi wavuvi tunaweza kuchukua hiyo ngoma!.Nina ka-digrii ka uvuvi wa samaki, wa maji baridi!.
 
Last edited by a moderator:
Husninyo baba paroko ana taarifa ya hili hitaji lako...?nakutakia mchakato mwema mwaya
 
Last edited by a moderator:
Wewe Husninyo, wewe...


Kwa nini hukumwomba Babu akusaidie??

Tatizo lenu nyie watoto wa dotcom mmejichukulia majukumu yasiyokuwa yenu!
 
Last edited by a moderator:

Legeza masharti hapo kwenye urefu!
 

Used mwenye sifa hizo unapokea maombi yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…