Jamani Husninyo anatafuta mchumba

Jamani Husninyo anatafuta mchumba

Wengine tupo standby tunasubiria ''position re-advertised''

Vipi, still vancant?

Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!

sifa za anaetafutwa

1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. anizidi urefu
5. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
6 asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe

Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.
 
Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!

sifa za anaetafutwa

1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. anizidi urefu
5. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
6 asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe

Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.
vp ushapata mchumba?
 
Kwa heshima nawasilisha CV yangu

CV Mwanyasi
PERSONAL DETAILS:
NAME: MWANYASI DAVD
SEX: MALE
DATE OF BIRTH: 19981
MARITAL STATUS: SINGLE
NATIONALITY: TANZANIAN
CONTACT ADDRESS: P. O. Box 5095 TANZANIA
E-Mail:mwanyasi@jamiiforums.com

EDUCATIONAL BACKGROUND:

1988 – 1994 -Certificate in Primary Education at Southern Primary School
Tanzania

1995 – 1998 -Certificate of Ordinary Level Secondary Education at Katikati
Secondary School, Tanzania

1996 – 1998 -Certificate of Advance Level Secondary at North area
Secondary School, Tanzania

1999 – 2002 - BBA – Mkt at Eastern region of Tanzania


2007 – 2009 - MBA – Mkt @ PR in Western Europe

EMPOLOYMENT RECORD:

2003 – 2006 - Marketing Dpt at Vodacom TZ

2010 – to date - Managing Director at Mgodi wangu wa Dhabu in Lake zone


REFFEREES:


  1. Mr. Invisible
JF Moderator
Email: invisible@jamiiforums.com


  1. Mr. Maxcence
  2. JF Founder & Moderator
Email: maxcence@jamiiforums.com


  1. Mr. Dark City
Chairman JF TA Wing
Email: darkcity@jamiiforums.com

  1. Ms KING’asti
Dada yangu
Email: king’asti@jamiiforums.com

VIGEZO AS PER YOU


  1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
Nina fedha za kutosha mara 200i ya Bishanga, nina mgodi na kisima cha mafuta kule Nigeria

  1. amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
Nina MBA ya UK

  1. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
Majibu ya kigezo namba 1 yanafaa, nina Boeing 3 (private jet) VX V8 7, Hummer HR3 4, Helcpter 2

  1. anizidi urefu
Hata JWTZ walisema nafaa kuwa Mwanajeshi

  1. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
Nina umri wa kutosha

  1. asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe
Nimeenda Jeshini kwa muda mfupi, sina pozi

Hivi hii uliiona Husninyo? janeth1 enzi hizo hatujaonana mamaaa
 
Last edited by a moderator:
Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!

sifa za anaetafutwa

1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. anizidi urefu
5. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
6 asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe

Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.

gusa kidogo kuhusu mambo ya imani!
 
Back
Top Bottom