Gogo la choo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 708
- 292
Sijawahi kupenda na wala sijawahi kupedwa..coz I am Play Boy..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado shosti, yule kaka yako aliyekuwa anasoma USA hawezi kukamata fursa chap chap?
Sijawahi kupenda na wala sijawahi kupedwa..coz I am Play Boy..
Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!
sifa za anaetafutwa
1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. anizidi urefu
5. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
6 asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe
Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.
vp ushapata mchumba?Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!
sifa za anaetafutwa
1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. anizidi urefu
5. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
6 asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe
Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.
Weka picha
Kwa heshima nawasilisha CV yangu
CV Mwanyasi
PERSONAL DETAILS:
NAME: MWANYASI DAVD
SEX: MALE
DATE OF BIRTH: 19981
MARITAL STATUS: SINGLE
NATIONALITY: TANZANIAN
CONTACT ADDRESS: P. O. Box 5095 TANZANIA
E-Mail:mwanyasi@jamiiforums.com
EDUCATIONAL BACKGROUND:
1988 1994 -Certificate in Primary Education at Southern Primary School
Tanzania
1995 1998 -Certificate of Ordinary Level Secondary Education at Katikati
Secondary School, Tanzania
1996 1998 -Certificate of Advance Level Secondary at North area
Secondary School, Tanzania
1999 2002 - BBA Mkt at Eastern region of Tanzania
2007 2009 - MBA Mkt @ PR in Western Europe
EMPOLOYMENT RECORD:
2003 2006 - Marketing Dpt at Vodacom TZ
2010 to date - Managing Director at Mgodi wangu wa Dhabu in Lake zone
REFFEREES:
JF Moderator
- Mr. Invisible
Email: invisible@jamiiforums.com
Email: maxcence@jamiiforums.com
- Mr. Maxcence
- JF Founder & Moderator
Chairman JF TA Wing
- Mr. Dark City
Email: darkcity@jamiiforums.com
Dada yangu
- Ms KINGasti
Email: kingasti@jamiiforums.com
VIGEZO AS PER YOU
Nina fedha za kutosha mara 200i ya Bishanga, nina mgodi na kisima cha mafuta kule Nigeria
- asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
Nina MBA ya UK
- amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
Majibu ya kigezo namba 1 yanafaa, nina Boeing 3 (private jet) VX V8 7, Hummer HR3 4, Helcpter 2
- anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
Hata JWTZ walisema nafaa kuwa Mwanajeshi
- anizidi urefu
Nina umri wa kutosha
- anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
Nimeenda Jeshini kwa muda mfupi, sina pozi
- asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe
Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!
sifa za anaetafutwa
1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. anizidi urefu
5. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
6 asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe
Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.
Natamani niwe mimi!