Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmmmmmhh!! tutasumbuana nshaona.
nipe kizizi chako mtoto wa kiarabu fursa ikamatike chap chap. nimechokaje shogangu. hadi usiku nauona mrefu. lolHahhahhahaha Husninyo baridi limekuchosha au usiku wa manane si unajua mwili huchemkaa halafu full kuhangaika unaishia kujishika na mikono tu
Pm leo itajaaje wewe tenaa,ukmpata ntaarifu shoga waweza mbahatisha Bakhresa humu ndio hapo ntakukumbusha ulisema "asiwe babu"
Kwi kwi kwi kwi malaria..
Si atakuwa kesha kufa ........ Mwambie akuachie sasa iv ili akifa ushaimiliki wewe alaah..
Hahahahahah duuu shikamooo leprofesoriiiiiiiiiii
Huyo hapo:
![]()
nipe kizizi chako mtoto wa kiarabu fursa ikamatike chap chap. nimechokaje shogangu. hadi usiku nauona mrefu. lol