Jamani huu ni ugonjwa gan na dawa zake ni zipi?

Jamani huu ni ugonjwa gan na dawa zake ni zipi?

Kuna kupwa na kujaaa kama bahari...kuna wakati ina kupwaa yani inanywea inakua kama ka utumbo...kuna muda ina jaa ndo na misuli inakua active
Eh kumbe…
Huyu wangu itakua k i b o r o dinda bas😂😂😂
 
I
Balaa Gen Z wa bongo Wana utundu sana
Balaa lake unaweza ukawa iliuza mechi miezi mitatu nyuma, af unakuja kupata hivo vipele, unakuwa huelewi vimetokea wapi 😅 kwa sababu unakuwa ushasahau, havikupati haraka mara baada ya ngono zembe, unlike gonorrhea utaziona dalili za gono siku hiohio uliouza mechi
 
Back
Top Bottom