Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikawe Ivo😂😂Nimekoma!!!😂😂😂
Mbona zipo na zinatokea?Sasa kitakuwaje na veins wakati yupo katika hali ya woga??...
Insh’AllahIkawe Ivo😂😂
Kuna kupwa na kujaaa kama bahari...kuna wakati ina kupwaa yani inanywea inakua kama ka utumbo...kuna muda ina jaa ndo na misuli inakua activeMbona zipo na zinatokea?
Au huyu wangu ni sio wa kawaida🙄
Eh kumbe…Kuna kupwa na kujaaa kama bahari...kuna wakati ina kupwaa yani inanywea inakua kama ka utumbo...kuna muda ina jaa ndo na misuli inakua active
Humu tu😃Insh’Allah
Balaa lake unaweza ukawa iliuza mechi miezi mitatu nyuma, af unakuja kupata hivo vipele, unakuwa huelewi vimetokea wapi 😅 kwa sababu unakuwa ushasahau, havikupati haraka mara baada ya ngono zembe, unlike gonorrhea utaziona dalili za gono siku hiohio uliouza mechiBalaa Gen Z wa bongo Wana utundu sana