Jamani huu ni ugonjwa gan na dawa zake ni zipi?

Jamani huu ni ugonjwa gan na dawa zake ni zipi?

Vijana wawe Makini, Dunia sasa imeharibika usimuamini mtu, watembee na mpira hata kwenye wallet wa Emergency. Unakuta kadada kenyewe ka elfu 2000 na dalili hazijaanza kuonekana na unajaa hapo, matokeo yake ndo haya.
Nikiwaambia kinga ni muhimu wao husema pipi hailiwi na maganda yake, matokeo yake ni haya.

Vijana kama tunajipenda kinga ni muhimu sana kwa hawa gen Z, watu wameoza ila wanatembea.
 
Ugonjwa wa nyanii huu,

Tiba yake, oga maji ya uvugu uvugu, tumia sabuni iliyotengenezwa kwa mitishambaaa, inaitwaa Malumalu.

Hospital utachelewa kupona, nendaa kwa tiba za asili.
Seriously.
 
Back
Top Bottom