Jamani huu ni ugonjwa gan na dawa zake ni zipi?

Jamani huu ni ugonjwa gan na dawa zake ni zipi?

that's means kama virusi haviondoki mwilini, anakua na uwezo wa kumuambukiza mtu mwingine sio?

Hii ni mbaya sana, Ukute nae aliambukiza kwa aina hyo ya binti alie zani katibiwa kapona, kumbe bado anavo ndani.

Tuongeze umakini wazee wa mbususu 🤣
Ni sahihi. Kuna dawa pia hua zinapunguza virus kuzaliana sana ila kutoka kabisa mwilini uongo.
Dalili zake zinatibika na unaweza ukawa fresh kabisa ila kila baada ya mda zinakuja tena sababu virus bado vinakuwepo.

NGONO zembe zina madhara makubwa sana. Watu wachukue tahadhari.
 
Wasikutishe izo sio genital warts, izo zina kama fluid kwa ndani genita warts haziko hivyo bwana
nenda hospital utapata tiba sahihi.

Muonekano wa genital warts unakua hivi
images (43).jpeg
 
Back
Top Bottom