Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malipo ni Hapa Hapa duniani.Sijui ila ni dalili kuwa kwenye uzi za ngono ulikua ni top contributor
AmeyatimbaaaaaCode uache kabisa kuchezea matope bila kuvaa viatu vya matopeView attachment 3083882
Hahaha asharudia id yake harisi, Ana comment na yeye kama wachangiaji wengine 😄
Umejiunga 2015 na hii ndo post yako ya kwanza mwaka huu 2024😀
Kumuinglia mwanmke bila kinga CNDOM ikiwa huyo mwanmke anahilotatiz na mwanmke upat kwa kuingliwa na wanaume tofauttofaut bila kuvaa kingaJe husababishwa na nini mkuu?
Laba kutembelea hizo threads. Hajawahi ku contribute chochote. Leo ndo mara ya kwanza post yake ya kwanza tokea miaka 9 iliyopita alipojiunga.Sijui ila ni dalili kuwa kwenye uzi za ngono ulikua ni top contributor
Jamaa binafsi sana huyu. Kapatwa tatizo ndo ana post. Miaka 9 hajawahi ku post 😀Mpox kutoka kwa Pis kali
Sasa ndo nimeelewa kwanini miaka 9 yote aliyojiunga Jf alikua hajawahi kuchangia comment hata moja kumbe alikua bize na ngonoLaba kutembelea hizo threads. Hajawahi ku contribute chochote. Leo ndo mara ya kwanza post yake ya kwanza tokea miaka 9 iliyopita alipojiunga.
JF kuna mengi😆
Kwamba hautibiki uko sahihi. Virus hivyo haviondoleki kwa sasa unaweza ondoa dalili kama vipele. Ila virus bado utakua navyo, hivyo hiyo hali hujirudia rudia mara kwa mara.SAWA MKUU,ASANTE.
ONGEZA LINGINE.
Akili mtu wangu 😄Halafu kweli
Kaomba msaada kwa ID mpya halafu maoni ya wadau anakuja kuyasoma kwa ID kongwe
This is JF!! 🤣
that's means kama virusi haviondoki mwilini, anakua na uwezo wa kumuambukiza mtu mwingine sio?Kwamba hautibiki uko sahihi. Virus hivyo haviondoleki kwa sasa unaweza ondoa dalili kama vipele. Ila virus bado utakua navyo, hivyo hiyo hali hujirudia rudia mara kwa mara.