spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaijua eeeeh... So poa...Naijua 😂😂
Unaona kifungo cha boksa, unauliza kiungo gani?Hio ni sehemu gani ya mwili?
Na tatizo lilianzaje?
😂😂😂BBE ina washa hatariiiiii....
Au atafute cream SCABOMA
BBE akipaka huko...Ataangalia
Dawa sio chungu Ila uchungu maradhi
pole sana,hii ni genital herpes,huu ugonjwa hauna dawa HOSPITAL,sanasana ni dawa za kuondoa hizo dalili tu,utaishi nao hadi ukifa.
Huu ugonjwa una dawa za mitishamba au tiba mbadala,uhakika wa kupona upo kwa upande huo;
pole sana.
Nimewahi kumuona muhanga wa ugonjwa huu,unatisha sana,na hospital za tanzania hawaujui.
dalili za kwanza,mkojo ulikuwa unatoka kawaida au njia iliziba?
Nimecheka sanaaaHata mimi mkuu
Anakwambia dalili ya kwanza mkojo hautokiWe,jamaa mjinga Sana
Hiyo jamaa Ni useless on this Sunday morning may be whole day but aaah forever useless 🤣We,jamaa mjinga Sana
NIMEFUTA MKUU,ENDELEENI NYIE WATAALAMU TUONE.Hiyo jamaa Ni useless on this Sunday morning may whole day aaah forever useless 🤣
Nyeto 3-0Pole mkuu,ila inachekesha
Kwenye suala la nyeto tuu aaaah nakupa salute kaka 😂😂😂Nyeto 3-0
upo sahihi Mm pia Muhanga wa hili.Hospital akienda atapigwa ela na hatopona.Dawa ipo maduka ya asiliWe Una taaluma ya udaktari ? Au unajiongelea tu
sio wanajielewa hawawezi post sababu kifanyio chao kina sura mbaya sana kinaweza sababisha Jf ikajilock automatically isipatikane hewani.sema wadada wanajielewa sana huwezi kuta mdada amepost kifanyio chake humu
huyu ni mwanaume kama wa tatu hivi nakuta anapost kifanyio chake
si uende hospitali tu hili jukwaa halina maana zaidi ya kudanganyana mambo ya mitishamba tu