Siyo kweli.Genitar wats
Inaonyesha jamaa kaukwaaDarubini inaonesha nini ? Tunaomba maelezo ambao hatuna darubini
kimekuramba acha kuruka ruka kijana hao ni virus (sio HIV). probably Genital warts (masundo sundo)
Mkuu sikutishi sana ila....
Ukienda hospitali cha moto utakiona dadek..
Utakubali show ile sindano aisee.. picha linaanza kwenye dawa
.. kuivuta tuu shighuli.. dawa ina viscosity kubwa kuliko asali...
πππππππ
Mi sasa imekuwa kama uwanja wa nyumbani mana......Kwa maelezo haya,wewe mzoefu π€£
Umesema Anal..?Ntarud hapa baadae kukushaur Cha kufanya..
Mi sasa imekuwa kama uwanja wa nyumbani mana......
Yote kwa yote sasa imepumzika kidogo ila najua nikiingia kule gongo la mboto sitoboi hata week 3 imooooo
ππππππ
Hapo inabidi uvikande hivyo vipele na maji ya uvuguvugu halafu unapakausha kwa kitambaa safi kikavu laini,baada ya hapo unapaka dawa inayoitwa BBE
Ile sindano hawakuchomi mara kwa mara. Khaaa basi ningekua nishakata moto...Unasahau ile sindano inavyochomwa na maumivu yale makali?
Kweli ile kitu imewekwa pabaya π€£
Hapo inabidi uvikande hivyo vipele na maji ya uvuguvugu halafu unapakausha kwa kitambaa safi kikavu laini,baada ya hapo unapaka dawa inayoitwa BBE
πππBBE ina washa hatariiiiii....Fata huu ushauri you will never regret
BBE ndo inaondoa mambo ya maupele yote, kujikuna n.k
Ile sindano hawakuchomi mara kwa mara. Khaaa basi ningekua nishakata moto...
Weee kwanza ujue ile siku nilitaka kulia kabisa sema dactar yule alikua wa jeshi hvo akawa ananipa maneno ya kichoma nikajiona nikilia takua wa kike aiseee ilaaaa yale mauvu utafikili kuna misumari inapita ndani au mtu anakubandua ngozi
ukisikia uparanta ndo huo ila dawa yke hipo kmanda