- Thread starter
- #101
Nambie alinipa nafasi gani?Hakuna kitu kama hicho yaani umerudhalilisha wanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nambie alinipa nafasi gani?Hakuna kitu kama hicho yaani umerudhalilisha wanaume
kama kazi gani kwa mfano?
Achana nae huyo sio fungu lako hata akikukubalia ukawa nae bado Atakusumbua tunipe ushauri
Mzigua90, Joel kapigwa vibuti hadi akakaa pembeni.Shombeshombe kaja kiutani utani acha tuu ajaribu bahati yake.Mkuu hutaniwi? Sasa utani ukajibeba kwenda kutongoza.
Nashkuru kwa ushauti wako kaka.Alichokuwa anakitafuta kwako amekipata, vischana vyengine huwa vinataka kuwaweka wanaume roho juu tuu, kwaiyo unachitakiwa kufanya ni kumpuuzia hata kama umeoza ila lazima uwe na roho ngumu kwa vischana vyenye tabia hiyo.
Mm binafsi nishatokewa na drama kama hiyo ila mtu mwenyewe sijazowea misere na maagizo nikakaa kimya, mara kikaja juu chenyewe na mm nikakikaushia nikakiambia siwezi kwakuwa hatufanani tabia nitakupa shida kwaiyo vyema ukatafuta mtu mwengine, kwaiyo nikaanza kukitesa yy sasa badala ya mm. LAKINI INAHITAJI ROHO YA JIWE KAMA SIO YA CHUMA ila ukizowea haupati shida tena
Niahauri nitumie njia gani?Inaonekana unapupa sana ya kumtaka huyo binti na amekustukia ndio maana anakupotezea
Asante kwa ushauri wako nduguSiyo kila mwanamke unaeona ni mzuri anaweza akawa mpenzi wako. Ameshakuonyesha wazi kabisa dalili kuwa hakupendi kimapenzi bali huo ulikuwa utani tu wa kawaida. Cha msingi we toa kabisa mawazo kwake. Piga kazi yako kwa bidii anaekupenda bado hajatokea huyo alikuwa anakutania tu wala hakupendi kimapenzi.
Asante kwa ushauri wako mkuuWewe sio wa kwanza kufanyiwa hivyo ni vile hujapata muda wa kukaa na wafanya kazi wenzio mkazungumza....
Bibiye alikuona boya ndo maana akakufanya 'shangazi yake' (mtani wake)....
Mkuu, upo kazini afu someone aliyekuja field anakutenda atakavyo!!!?, Dharau hizo..
Achana naye...
Asante kwa kunishauri mkuuAchana nae huyo sio fungu lako hata akikukubalia ukawa nae bado Atakusumbua tu
And kingine huyo binti alikuona wewe sio type yake ndo maana alipata hata ujasiri wa kukuzoea kipopo popo
Hakuna msichana mwenye ujasiri wa kuanzia mazoea kama hayo kwa mtu alie vutiwa nae
So mpaka akakuzoea hvyo tayari alishaona hauna vigezo vya kuwa nae
Ni sawa tu na bibi yako alivyo kuwa anakutania kwa kukuita mume