Jamani huyu msichana mie simuelewi. Naombeni ushauri

Jamani huyu msichana mie simuelewi. Naombeni ushauri

demu akikupenda huwa akuzoei sana mkuu. alikuwa anakuenjoy tu. wewe ungeenda nae hivo hivo kiutani utani tu. mwisho huenda mngeelewana. mdem wa hivyo hawatongozwagi.
Kwahiyo nilifanya kosa kumtongoza?
 
Kwahiyo nilifanya kosa kumtongoza?
mkuu pole ulifanya kosa... inshort ni kwamba alikuwa anakudharau sana. (ukweli mchungu) sasa wewe ilitakiwa ujifanye na wewe humpendi na wala humfikirii kabisa. ila utani uupokee na wewe umtanie pia. yeye mwenyewe angejishtukia. yani na uzuri wake wote lakini wewe hata huna habari nae. yani wewe kama ulimpenda kiukweli ungetulia tu. ungeendelea nae hivyo hivyo kiutani utani tu. kama alikuwa kweli anakupenda mambo yangejipa automatic.

sio kila mahusiano huanza kwa kutongozana mkuu direct.
 
mkuu pole ulifanya kosa... inshort ni kwamba alikuwa anakudharau sana. (ukweli mchungu) sasa wewe ilitakiwa ujifanye na wewe humpendi na wala humfikirii kabisa. ila utani uupokee na wewe umtanie pia. yeye mwenyewe angejishtukia. yani na uzuri wake wote lakini wewe hata huna habari nae. yani wewe kama ulimpenda kiukweli ungetulia tu. ungeendelea nae hivyo hivyo kiutani utani tu. kama alikuwa kweli anakupenda mambo yangejipa automatic.

sio kila mahusiano huanza kwa kutongozana mkuu direct.
nashkuru, ila wanawake wagumu aiseee!
 
Huyo anakupenda sana sema amakupima imani endelea kumsumbuwa IPO siku atakuelewa ndugu kaza buti kama uko vitani utafanikiwa
 
Girls ndo walivo ana playhard to get....mkuu focus tu kwenye ishu zako life is too short to please fool's....
 
Wote hamko SILIASI. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Haya majina ya joel yana mambo sana.

Wewe jamaa ni kiazi.

Hasa hasa tutakushauti uende ukambake
 
Madam Evelyn Salt nakuomba huku tumsaidie kijana....ebu kwa experience yako madam huyu jamaa anakwama wapi??
Sijaona mahali Joel katoa hata ofa ya lunch mzee baba mkono mtupu haulambwi😀😀

Ila pia possible Joel ana tuvitu flani tunakata stimu, may be hana maneno ya kuvutia, may be hajui kutumia chance make hapo ofisini alivoambiwa I miss you alitakiwa aoneshe uwepo wake sasa ye anaanza kusubiri weekend broo zege hailali ikilala inakua sakafu.

Lastly ampotezee huyo nae hayupo tayari kutmbw asimfanye Joel jogoo anataka kukimbiiiizwa!!!
 
Sijaona mahali Joel katoa hata ofa ya lunch mzee baba mkono mtupu haulambwi😀😀

Ila pia possible Joel ana tuvitu flani tunakata stimu, may be hana maneno ya kuvutia, may be hajui kutumia chance make hapo ofisini alivoambiwa I miss you alitakiwa aoneshe uwepo wake sasa ye anaanza kusubiri weekend broo zege hailali ikilala inakua sakafu.

Lastly ampotezee huyo nae hayupo tayari kutmbw asimfanye Joel jogoo anataka kukimbiiiizwa!!!
Asante kwa ushauri dada.

Ina maana sina nafasi yoyote ya kumpata kwa sasa?
 
Asante kwa ushauri dada.

Ina maana sina nafasi yoyote ya kumpata kwa sasa?
Ulishindwa kumpata upo nae hapo, sahivi huko mbali hapokei simu wala msg utampata vipi, lazimisha moyo umsahau...futa namba, futa msg zake na kila kumbukumbu yake japo hautamsahau haraka ila utamsahau tu...
Ila Jo ulishindwa hata kumtoa out?
 
Wote uliotongoza wamekutosa ndio maana na huyo ulimtongoza akasepa ushauri wewe kuwa unanunua tu
 
Back
Top Bottom