Jamani huyu msichana mie simuelewi. Naombeni ushauri

Wewe ulishasema una pepo la kukataliwa, mkuu rudi kwenye mode yako ya kukaa bila wasichana utapata amani, sasa mtu hajibu wala kupokea simu zako bado unamuwaza na kumuulizia, in short unamkwaza na hakutaki kbsa
 
Ulishindwa kumpata upo nae hapo, sahivi huko mbali hapokei simu wala msg utampata vipi, lazimisha moyo umsahau...futa namba, futa msg zake na kila kumbukumbu yake japo hautamsahau haraka ila utamsahau tu...
Ila Jo ulishindwa hata kumtoa out?
Niliwahi kumuomba tutoke akakataa.

Ila ntajitahidi nimsahau asee!
 
atakuwa anapenda drama za mapenzi ya kukimbizana kama wahindi, kwahiyo kama huwezi drama jiandae kuumia zaidi ila kama na wewe ni mzuri kwenye drama basi waweza endelea.
Mwanamke mwenye drama anazingua sana yaani. Sababu unakuta uko serious yeye anaruka ruka. Hao huwa wabafanya mtu kuchoka au kukinai penzi haraka
 
Ningekuwa me ndio wewe kwenye hizo ningekuwa kauzu hatari yani ningemu ignore akiwa curious enough, ningeita sehemu nile bila kutongoza.
 
Madam umeua😂😂...mi pamoja na ubahili wangu bado sijamfikia joel😂😂😂😂😂😂...jamaa kashindwa kutoa hata ofa ya lunch kipindi chote mtoto amekuja field ofisini
 
Hakupendi huyo achana naye.. wako yupo atakuja tu ondoa shaka.. piga kazi ndugu....
NB: sumu ya mwanamke ni pesa ndo maana nakushaur piga kaxi watakuja wenyeweee bila kuwatongoza..
Nawakilisha kungwi mtoto.
 
Ungemwambia Face to Face nakupitia Tutoke out wewe ulikuwa unakosea kumtongoza kupitia Simuu...na alijua unamuogopa ndo maana yeye akawaa Ana confidence ya kukutania face to face Ila wewe unampotezea then kwenye simu unaanza kumlilia shida zakoo...!! Ungejiongezaa direct mkuu hata kwa kumletea vizawadi kumtoa Lunch hivi.... Ilaa hapoo kashasepaa ukijichanganya Utapigwaaa Vizingaa tuu
 
Wewe bado hujajua kutongoza,Mwanamke akikushobokea usinyeshe uoga wala kiherehere unambadilishia staili halafu mbele za watu.Yaani unamkwida kikweli kweli.

Sasa kwanza usimtongoze kwenye simu mwanamke ambaye anakushobokea mbele za watu.Unachokifanya unamwambia straight ila kimya kimya kwamba 'Dada najua unapenda mzaha na mimi ila ukinifanyia hivi mbili za watu unanikosesha amani kabisa"
 
Achana naye, fanya mambo mengine.
a)[Parallel Running] Inawezekana alikuwa anakutaka ila as a second choice baada ya kupata shida kumnasa first choice. Ss na wewe ulipochelewa, ikatokea sasa first choice kakaa sawa....(You know where I am going with this)

b)[Winner Wannabe] Labda wakati huingiliki alikuchukulia as a challenge. Labda hapo kazini wanaume wote wameshamsumbua. We Joel ni nani labda? Iweje toka ufike kazini hujaenda kureport kwake? Basi akapambana akapata title yake kwa wewe hatimaye kushoboka then akawa satisfied.

c)[Not that Hot after all] Labda ulivyokua cool ulimvutia. Alivyokusumbua mkazoeana akaona huko vile alivyotegemea

I can go on and on with a bunch of other theories but, u get my point. Walk away! Kapambane na wanawake walio serious. Mbona wako wengi? Huyo hata akikukubalia kutakuwa na drama sana kwenye uhusiano. Mapema hiyo hajali feelings zako ndo atakuja kujali bdae? Achana na vitoto nenda tafuta matured woman. Wako wengi tena unawachelewesha!
 
Wewe ungekula bati tu kujishobokesha kumekunyima point
 
Japo huyo dem nae alikua anarukaruka ila Jo kuna makosa ya kiufundi kafanya
Jamaa inaonekana sio janja kabisa,huyo mtoto inaonekana kashindwa kumkula kwa uzembe wake...kama kamshindwa huyo aliyekuwa anamwambia anakosa usingizi sababu yake sjui ataweza mkulanani mwingine😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…