Jovvan
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 294
- 460
Wakati mwingine hatutaki hata hiyo kufanya ila ndo hamna namna tunavumiliaa tu, nyie mtaweza ?Huwa mnaskia maumivu au ni kama adhabu tukiwafanyaga ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati mwingine hatutaki hata hiyo kufanya ila ndo hamna namna tunavumiliaa tu, nyie mtaweza ?Huwa mnaskia maumivu au ni kama adhabu tukiwafanyaga ?
Ila una lugha yenye ukakasi! Mkeo ana tabu sana hivi unafikiri usingemwoa asingekula?why hukuoa mwanamke mwenye kazi yake hapa ulikosea mshikaji.Yaan ukimkuta anavyonishauri utazani yeye ni wale watu waliofanikiwa kimaisha wakati mimi ndo namlisha
Kwahyo kumbe huwa sex kwenu sio kipaumbele na hamsikii rahaWakati mwingine hatutaki hata hiyo kufanya ila ndo hamna namna tunavumiliaa tu, nyie mtaweza ?
May i have ya phone number?Huu muda unaotumia kuniandikia ngeli yako ungeutumia kutafutia hela tu
Wewe unafanya haya kwa Mwanaume anayekuhudumia?
[emoji28][emoji28][emoji28]
Tushapoteza hapo mkuu... ..Mkuu jisemee wewe tu, mimi sikubali kulishwa na kupewa hela na mwanamke... kama nguvu za kupambana kuisaka hela ninazo, nashindwa nini sasa