Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 5,957
- 7,505
Wewe unafanya haya kwa Mwanaume anayekuhudumia?Yani atakaehudumiwa na Mimi namuhurumia nitakavyomfanya.... Kwanza hatakiwi kuwasiliana na mtu mwingine yoyote isipokuwa kwa ruhusa yangu,,, anipe kila nitakapohitaji,,,, nikitoka kazini anipokee kwa magoti sio wima wima tu, anatakiwa kunisifia navyojua kumtunza kila wakati😂😂😂😂😂😂
😅😅😅