Romina
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 667
- 2,790
Sio kila mtu anauwezo wa kumiliki house girl au hatakama yupo still kulea ni kaziKulea kuna kazi gani akati mnasaidiwa na mahausi gelo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila mtu anauwezo wa kumiliki house girl au hatakama yupo still kulea ni kaziKulea kuna kazi gani akati mnasaidiwa na mahausi gelo!
Dalili mbaya hizi kwa mwanaumeUnakuta mdada mnatoka naye out kwenye date labda mmeenda johari rotana, mnakula na kunywa ila mwisho ikija bills anakukazia jicho kweli ili ulipe wewe bill.
Bado unakuta asubuhi ukiwa unaondoka nyumbani anataka kodi ya meza wakati kiuhalisia alitakiwa akupe pocket money ya kutumia.
Nadhani ni muda sasa wa sisi wanaume kuanza kuhudumiwa na wanawake hilo waanze kujifunza!
Anapo toka kwenda kwenye majukumu yake huyo mtoto anabaki na nani? kama sio mama na hapo unakuta hana msaidizi hivyo kazi zoote anafanya yeyeKwani unalea mwenyewe au baba mtoto hausiki?
Sawa nakubali nawewe kukaa tuu nyumbani huoni unakuwa mzigo kwa familia na maendeleo ya taifa dada!Anapo toka kwenda kwenye majukumu yake huyo mtoto anabaki na nani? kama sio mama na hapo unakuta hana msaidizi hivyo kazi zoote anafanya yeye
Kuna mahali nimeandika nakaa tuu nyumbani?Sawa nakubali nawewe kukaa tuu nyumbani huoni unakuwa mzigo kwa familia na maendeleo ya taifa dada!
Sijawahi kushindwa kumuhudumia mtu ninaye mpenda hata siku mojaSafi swali ni je kama unapata hela kwanini ushindwe kumhudumia umpendaye? Ikiwa yeye pia anakuhudumia!
Hii jinsia haiekeweki inataka Mwanamke wa aina gani?Kwanini hukuoa mwanamke mpambanaji? Huwa mnakosea sana...na asingekushauri chochote ungelalamika pia.
Hana kazi? Kwanini? Kakataa kujishughulisha au ipoje?
Kwani mnatoka na wanawake wa wapi...???🙄🙄Unakuta mdada mnatoka naye out kwenye date labda mmeenda johari rotana, mnakula na kunywa ila mwisho ikija bills anakukazia jicho kweli ili ulipe wewe bill.
Bado unakuta asubuhi ukiwa unaondoka nyumbani anataka kodi ya meza wakati kiuhalisia alitakiwa akupe pocket money ya kutumia.
Nadhani ni muda sasa wa sisi wanaume kuanza kuhudumiwa na wanawake hilo waanze kujifunza!
Sasa si unapambana kwaajili ya familia??? Ushauri wake unahusika 💯Wanawake bhana ni watu wa ajabu sana,mfano kama mke wangu ananitegemea mimi na hafanyi chochote zaidi ya kulea mtoto lakin unakuta ananishauri namna ya kupambana ili nitoboe wakati yeye yupo tu hana mishe
Mimi huyu huyu!😉Nani huyo wewe au Lizbeth!
Ona sasa....unataka tuwajali, offer hutaki.Cha ubahili wewe! Mmh c utanitangaza dar nzima hii!