Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Mkeo kukushauri ni jambo la ajabu? Kulea mtoto umeona sio kazi, dah!Wanawake bhana ni watu wa ajabu sana,mfano kama mke wangu ananitegemea mimi na hafanyi chochote zaidi ya kulea mtoto lakin unakuta ananishauri namna ya kupambana ili nitoboe wakati yeye yupo tu hana mishe