Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Yani atakaehudumiwa na Mimi namuhurumia nitakavyomfanya.... Kwanza hatakiwi kuwasiliana na mtu mwingine yoyote isipokuwa kwa ruhusa yangu,,, anipe kila nitakapohitaji,,,, nikitoka kazini anipokee kwa magoti sio wima wima tu, anatakiwa kunisifia navyojua kumtunza kila wakati😂😂😂😂😂😂
Yaan ukimkuta anavyonishauri utazani yeye ni wale watu waliofanikiwa kimaisha wakati mimi ndo namlishaHahahah yeye anashinda instagram akiaangalia yanayojiri kule kisha anakuja kukupanikisha ili nawewe ufanye mambo muishi kama wale raia wa instagram 😂😂😂
Hio ndio kazi ambayo hawa mama zetu wanaiweza sana.
Hajakataa kujishughulisha,ila nimemwambia tumalize mambo ya kuzaa ndo ataanza harakatiKwanini hukuoa mwanamke mpambanaji? Huwa mnakosea sana...na asingekushauri chochote ungelalamika pia.
Hana kazi? Kwanini? Kakataa kujishughulisha au ipoje?
Mwenzetu yuko wapi kwa mfano hapo 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂😂Mbna mnamkana nwenzenu
Unataka aache kulea akusaidie kutafuta?Wanawake bhana ni watu wa ajabu sana,mfano kama mke wangu ananitegemea mimi na hafanyi chochote zaidi ya kulea mtoto lakin unakuta ananishauri namna ya kupambana ili nitoboe wakati yeye yupo tu hana mishe
Kwan hiko kikao mlichofanya hakuwepo huyu labda alipitwa😂😂Mwenzetu yuko wapi kwa mfano hapo 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Ss km umemwambia azae kwanzaHajakataa kujishughulisha,ila nimemwambia tumalize mambo ya kuzaa ndo ataanza harakati
I of course am in the latter category, I think it's down to men to change things and that men are responsible for where we are, but I don't pretend to believe in gender equality and act like we're the same when asymmetries as pronounced as this one are staring me in the face.Ukikubali kula sharti uliwe,, mnavyotufanyaga na wewe ujiandae kufanywa hivyo hivyo,
Unaongea as if ni mvivu tu na anakushauri ujinga. Hiyo kazi ya kuzaa na kulea sio ndogo kama unavyofikiri.Hajakataa kujishughulisha,ila nimemwambia tumalize mambo ya kuzaa ndo ataanza harakati
Hujui kuandika kiswahili,,, watu wengine buanaI of course am in the latter category, I think it's down to men to change things and that men are responsible for where we are, but I don't pretend to believe in gender equality and act like we're the same when asymmetries as pronounced as this one are staring me in the face.
So you get this protected class that receives a high level of respect despite being held to a low social standard.Hujui kuandika kiswahili,,, watu wengine buana
Kakae sijakulazimisha uninukuu,,So you get this protected class that receives a high level of respect despite being held to a low social standard.
And we are meant to believe they are equal to an unprotected class that is routinely denigrated and held to a high social standard.
Extremely unjust and perverse.
MkuuUnakuta mdada mnatoka naye out kwenye date labda mmeenda johari rotana, mnakula na kunywa ila mwisho ikija bills anakukazia jicho kweli ili ulipe wewe bill.
Bado unakuta asubuhi ukiwa unaondoka nyumbani anataka kodi ya meza wakati kiuhalisia alitakiwa akupe pocket money ya kutumia.
Nadhani ni muda sasa wa sisi wanaume kuanza kuhudumiwa na wanawake hilo waanze kujifunza!
Evelyn Salt hongera kwa kutimiza wajibu wako!Kama yupo tayari aseme tu, wanawake wahudumiaji mbona tupo.....
Tatizo hamueleweki kuna mwenzako huko nae alianzisha uzi anadai mwanamke ni bora tuu akae nyumbani kuliko kufanya kazi maana wakiwa na kipato wananyodoHajakataa kujishughulisha,ila nimemwambia tumalize mambo ya kuzaa ndo ataanza harakati
Kulea kuna kazi gani akati mnasaidiwa na mahausi gelo!Tatizo hamueleweki kuna mwenzako huko nae alianzisha uzi anadai mwanamke ni bora tuu akae nyumbani kuliko kufanya kazi maana wakiwa na kipato wananyodo
Uzi ule nusu ya wanaume wenzako waliunga mkono hoja hiyo ya kipuuzi ambayo haina maana
Ila muheshimu sana mkeo kulea ni kazi mnoo yani yale mateso wamama wanayo yapata sio ya kawaida mkuu