Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Ndivyo tulivyoumbwa ukipendezwa join usWanawake acheni kupenda kitonga!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo tulivyoumbwa ukipendezwa join usWanawake acheni kupenda kitonga!
🤣🤣🤣Mtakubali kuvumilia tunayovumilia sisi
Sasa akienda kupambana wew utakaa na watotoNatakiwa nishauriwe na mwanamke mpambanaji anaechangia kipato kwenye familia ila sio yule ambae yupo tu nyumbani afu ananiletea ujuaji wa kunielekeza hivi mara vile wakati yupo amekaa,pambana na wewe uone moto unavyowaka
Bas mtulie kilakitu ni processAcha ubahili hizo hela ukinihudumia utapungukiwa nini? Mbna ukiwa mwenyewe unajihudumia!
Kama yupo tayari aseme tu, wanawake wahudumiaji mbona tupo.....Huyo Muuni yuko desperate sana nahisi yuko tayari kuwa Marindafied!😂😂😂
Mishe zake si ndio hizo kulea watoto 😂😂😂😂Wanawake bhana ni watu wa ajabu sana,mfano kama mke wangu ananitegemea mimi na hafanyi chochote zaidi ya kulea mtoto lakin unakuta ananishauri namna ya kupambana ili nitoboe wakati yeye yupo tu hana mishe
Hehee 😂Ukikubali kula sharti uliwe,, mnavyotufanyaga na wewe ujiandae kufanywa hivyo hivyo,
Yani atakaehudumiwa na Mimi namuhurumia nitakavyomfanya.... Kwanza hatakiwi kuwasiliana na mtu mwingine yoyote isipokuwa kwa ruhusa yangu,,, anipe kila nitakapohitaji,,,, nikitoka kazini anipokee kwa magoti sio wima wima tu, anatakiwa kunisifia navyojua kumtunza kila wakati😂😂😂😂😂😂Hehee 😂
Ni aibu mwanaume kutunzwa na mkewe.Kasome yoshua bin sira.Kama nitakuwa nimekosea mnirekebishe.Unakuta mdada mnatoka naye out kwenye date labda mmeenda johari rotana, mnakula na kunywa ila mwisho ikija bills anakukazia jicho kweli ili ulipe wewe bill.
Bado unakuta asubuhi ukiwa unaondoka nyumbani anataka kodi ya meza wakati kiuhalisia alitakiwa akupe pocket money ya kutumia.
Nadhani ni muda sasa wa sisi wanaume kuanza kuhudumiwa na wanawake hilo waanze kujifunza!
Tuwape kila mnapotaka,, 😂😂😂mmeumbwa na fahari hamuwezi kunyenyekea,,Eeh hapo hapo nakazia hebu tufafanulie vema tunawafanyaga nn kwa faida ya umma
Tena huyu mimi kabisa hapo mwanzoni..napenda nipewe kila siku walau mara 1 kama dozi ya mbaazi.Tuwape kila mnapotaka,, 😂😂😂mmeumbwa na fahari hamuwezi kunyenyekea,,
Sasa kutoa kila mnapotaka unadhani ni rahisi,, ndo namwambia mtoa mada ajiandae kufanywa km mnavyotufanya😂😂Tena huyu mimi kabisa hapo mwanzoni..napenda nipewe kila siku walau mara 1 kama dozi ya mbaazi.
Niliwahi kutaka kumimina uji wa thamani wakati nipo hoi naumwa maumivu makali. Mtoto watu alipigwa na butwaa. Halafu sijui kwanini maumivu yalisimama kwa muda. Hata maumivu yanajua thamani ya ule mchezo takatifu.
[emoji28][emoji28][emoji28]Wanawake bhana ni watu wa ajabu sana,mfano kama mke wangu ananitegemea mimi na hafanyi chochote zaidi ya kulea mtoto lakin unakuta ananishauri namna ya kupambana ili nitoboe wakati yeye yupo tu hana mishe
😂Mbna mnamkana nwenzenuWanawake hili suala sisi hatujalijadili katika kikao cha wanaume,
hivyo msije mkajua ni wanaume wote, hili la kwake peke yake huyu
Tatizo ujasema mwanmke wanch gan?? Kama mwamke wa tz awez labda umzae mwenyew uyo mwanamkeUnakuta mdada mnatoka naye out kwenye date labda mmeenda johari rotana, mnakula na kunywa ila mwisho ikija bills anakukazia jicho kweli ili ulipe wewe bill.
Bado unakuta asubuhi ukiwa unaondoka nyumbani anataka kodi ya meza wakati kiuhalisia alitakiwa akupe pocket money ya kutumia.
Nadhani ni muda sasa wa sisi wanaume kuanza kuhudumiwa na wanawake hilo waanze kujifunza!