Jamani, ifike hatua wanawake muanze kutuhudumia sisi wanaume!

Jamani, ifike hatua wanawake muanze kutuhudumia sisi wanaume!

Hehee 😂
Yani atakaehudumiwa na Mimi namuhurumia nitakavyomfanya.... Kwanza hatakiwi kuwasiliana na mtu mwingine yoyote isipokuwa kwa ruhusa yangu,,, anipe kila nitakapohitaji,,,, nikitoka kazini anipokee kwa magoti sio wima wima tu, anatakiwa kunisifia navyojua kumtunza kila wakati😂😂😂😂😂😂
 
Unakuta mdada mnatoka naye out kwenye date labda mmeenda johari rotana, mnakula na kunywa ila mwisho ikija bills anakukazia jicho kweli ili ulipe wewe bill.

Bado unakuta asubuhi ukiwa unaondoka nyumbani anataka kodi ya meza wakati kiuhalisia alitakiwa akupe pocket money ya kutumia.

Nadhani ni muda sasa wa sisi wanaume kuanza kuhudumiwa na wanawake hilo waanze kujifunza!
Ni aibu mwanaume kutunzwa na mkewe.Kasome yoshua bin sira.Kama nitakuwa nimekosea mnirekebishe.
 
Tuwape kila mnapotaka,, 😂😂😂mmeumbwa na fahari hamuwezi kunyenyekea,,
Tena huyu mimi kabisa hapo mwanzoni..napenda nipewe kila siku walau mara 1 kama dozi ya mbaazi.
Niliwahi kutaka kumimina uji wa thamani wakati nipo hoi naumwa maumivu makali. Mtoto watu alipigwa na butwaa. Halafu sijui kwanini maumivu yalisimama kwa muda. Hata maumivu yanajua thamani ya ule mchezo takatifu.
 
Tena huyu mimi kabisa hapo mwanzoni..napenda nipewe kila siku walau mara 1 kama dozi ya mbaazi.
Niliwahi kutaka kumimina uji wa thamani wakati nipo hoi naumwa maumivu makali. Mtoto watu alipigwa na butwaa. Halafu sijui kwanini maumivu yalisimama kwa muda. Hata maumivu yanajua thamani ya ule mchezo takatifu.
Sasa kutoa kila mnapotaka unadhani ni rahisi,, ndo namwambia mtoa mada ajiandae kufanywa km mnavyotufanya😂😂
 
Wanawake bhana ni watu wa ajabu sana,mfano kama mke wangu ananitegemea mimi na hafanyi chochote zaidi ya kulea mtoto lakin unakuta ananishauri namna ya kupambana ili nitoboe wakati yeye yupo tu hana mishe
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Wanaume mliambiwa mtakula kwa jasho, na wanawake watazaa kwa uchungu, kwann tujitese ebooo[emoji848]
 
Unakuta mdada mnatoka naye out kwenye date labda mmeenda johari rotana, mnakula na kunywa ila mwisho ikija bills anakukazia jicho kweli ili ulipe wewe bill.

Bado unakuta asubuhi ukiwa unaondoka nyumbani anataka kodi ya meza wakati kiuhalisia alitakiwa akupe pocket money ya kutumia.

Nadhani ni muda sasa wa sisi wanaume kuanza kuhudumiwa na wanawake hilo waanze kujifunza!
Tatizo ujasema mwanmke wanch gan?? Kama mwamke wa tz awez labda umzae mwenyew uyo mwanamke
 
Back
Top Bottom