Jamani, ifike hatua wanawake muanze kutuhudumia sisi wanaume!

Jamani, ifike hatua wanawake muanze kutuhudumia sisi wanaume!

We siunataka bill iwe kubwa 🤔🤔 Feel free to make it so.

Kapika nani hilo pilau?? 😄😄😄😄
Nitanunua kwa sele bomba mitaa ya msasani! Tena na kachumberi anaiweka mayonnaise!
 
We jamaa ni mwanaume kweli??

Unawaza kuhudumiwa na mwanamke.

Halafu kwanini mtoke out wakati unajua mfukoni apeche alolo.
 
Wanawake bhana ni watu wa ajabu sana,mfano kama mke wangu ananitegemea mimi na hafanyi chochote zaidi ya kulea mtoto lakin unakuta ananishauri namna ya kupambana ili nitoboe wakati yeye yupo tu hana mishe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unakuta mdada mnatoka naye out kwenye date labda mmeenda johari rotana, mnakula na kunywa ila mwisho ikija bills anakukazia jicho kweli ili ulipe wewe bill.

Bado unakuta asubuhi ukiwa unaondoka nyumbani anataka kodi ya meza wakati kiuhalisia alitakiwa akupe pocket money ya kutumia.

Nadhani ni muda sasa wa sisi wanaume kuanza kuhudumiwa na wanawake hilo waanze kujifunza!
Picha linaanzia kwa muhudumu, anakuja direct kwako 😂😂
 
Hii jinsia haiekeweki inataka Mwanamke wa aina gani?
Kuna mada humu zaidi ya moja wakishauriana wanawake wa pambanaji si wakuoa kwani hawajui majukumu yao na wamejawa jeuli[emoji2372]
Halafu wanataka kuhudumiwa, sasa kama hawataki wake zao wafanye kazi hizo pesa za kuwahudumia zinatoka wapi? Kazi ipo.
 
[emoji28][emoji28] hizi zama zinapoelekea ni kubaya... Mwache akusaidie mwenyewe na akikupenda mno, atakusaidia bila kuambiwa. Lakiniiii ni haki kweli mtoto wa kiume kuwaza kuhudumiwa? [emoji2]
 
Back
Top Bottom