Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende dinner tuselfike wote 🙂Twende ukaselfike bana nimekuita umejikausha!
Unaweza ku-order na take away kwaajili ya wifi yangu ukipenda.🙂Sasa wote sio walaji na wew ni mtu wa diet huoni bill ikija itakuja ndogo sana!
Mayonnaise silagi 😵😵Ntanunua kwa sele bomba mitaa ya msasani! Tena na kachumberi anaiweka mayonnaise!
Aaha sasa naww usianze kumpa msegemeke mtu wako huko tena sababu ya jamaa hapo.Nimeshangaa sana ,Yani amesikitisha sana,
Naww soma hapo juu kwa mwenzio.Hatuna thamani kwa hawa watu mpendwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake bhana ni watu wa ajabu sana,mfano kama mke wangu ananitegemea mimi na hafanyi chochote zaidi ya kulea mtoto lakin unakuta ananishauri namna ya kupambana ili nitoboe wakati yeye yupo tu hana mishe
Bado sijaanza kuhudumiaEvelyn Salt hongera kwa kutimiza wajibu wako!
Kumtoa out ya mara moja sio kesi mbona. Ila Sasa sio kumhudumia mwanaume hapana kwakweli mwanaume yeye ndo mwenye jukumu la kumhudumia mke na nyumbaKwahyo wew umeamua kucheza vikoba ushindwe hata kumtoa out umpendaye?
Kumbe hajakataa kujishughulisha mmekubaliana azae kwanza sasa kwa nini unamzungumzia vibaya??Hajakataa kujishughulisha,ila nimemwambia tumalize mambo ya kuzaa ndo ataanza harakati
Picha linaanzia kwa muhudumu, anakuja direct kwako 😂😂Unakuta mdada mnatoka naye out kwenye date labda mmeenda johari rotana, mnakula na kunywa ila mwisho ikija bills anakukazia jicho kweli ili ulipe wewe bill.
Bado unakuta asubuhi ukiwa unaondoka nyumbani anataka kodi ya meza wakati kiuhalisia alitakiwa akupe pocket money ya kutumia.
Nadhani ni muda sasa wa sisi wanaume kuanza kuhudumiwa na wanawake hilo waanze kujifunza!
Halafu wanataka kuhudumiwa, sasa kama hawataki wake zao wafanye kazi hizo pesa za kuwahudumia zinatoka wapi? Kazi ipo.Hii jinsia haiekeweki inataka Mwanamke wa aina gani?
Kuna mada humu zaidi ya moja wakishauriana wanawake wa pambanaji si wakuoa kwani hawajui majukumu yao na wamejawa jeuli[emoji2372]