mbisom ramos
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 811
- 396
We kafundishe mirembe!!!Walimu wenzangu tukae mkao wa kula mda si mrefu mambo yatakua poa, ila nashauri tupige kazi kozi tuna dhima kubwa sana kwa Allah{sw} muumba.hii ni kutokana kuwa ualimu ulianzia kwa mitume wetu.
:A S thumbs_up:
anayetaka post anitumie jina lake kamili ndani ya dakika 5 namwambia kapangwa wapiwadau wengi wanazo kwenye flash, nishajua kwangu kesho ni kuthibitisha tu
Walimu wenzangu tukae mkao wa kula mda si mrefu mambo yatakua poa, ila nashauri tupige kazi kozi tuna dhima kubwa sana kwa Allah{sw} muumba.hii ni kutokana kuwa ualimu ulianzia kwa mitume wetu.
:A S thumbs_up:
anayetaka post anitumie jina lake kamili ndani ya dakika 5 namwambia kapangwa wapi
anayetaka post anitumie jina lake kamili...
wadau wengi wanazo kwenye flash, nishajua kwangu kesho ni kuthibitisha tu