Jamani kijana wenu nimeaibika nahitaji msaada wenu ili kuyaepuka haya yasijirudie

Jamani kijana wenu nimeaibika nahitaji msaada wenu ili kuyaepuka haya yasijirudie

Kuna mambo mengi yaweza kuwa sababu. Ulaji wako, muda wa kupumzika, utimamu wa mwili na akili, utayari na hiyari katika kufanya tendo, lakini mazoezi ya mwili, halafu kuna kipengele cha mawasiliano kwa ujumla baina yako na mwenza wako.

Hata hivyo wakati fulani ni jambo la mpito tu na baadaye mambo yatakaa sawa.

Ni muhimu kujiamini na hakikisha unamjenga na kujijengea tabia ya kupunguza au kuacha tabia ya lawama kupita kiasi haifai
 
Kubali tu kwamba kuanzia mwanzo Show zako zilikuwa ni mbovu ila sasaivi umekutana na gumegume limekupa ukweli.

Acha punyeto, fanya kegel exercises, chai yako changanya na asali vijiko viwili vikubwa usiweke sukari,

Usipopona achana na mambo ya wanawake karibu hapa Parokia ya Dodoma tumtangaze mwokozi.
 
Ukimuoa tutakupa maujuzi kwasasa bd wewe ni mdogo, yaani miaka 4 unamchungulia mtoto wa watu Bila kutoa mahalo kweli halafu eti tukupe maujanja mimi siwezi na Ndiyo maana adhabu umeanza kuipata mapemaa
Mkuu mm mwenyew sipend tu niwe nae hv ila next year mambo yakiwa vzr namuweka ndani.
 
27 years unaomba ujuzi humu na tubinti twako😔😔😔. Kijana jiheshimu sana.
Ukianza kujiheshimu, swala la tendo halitokua taabu kwako.
Kaka siombi ujuzi ila hili ni tatzo nakuombeni mnisaidie nfanye nn kuepuka hii hali !? Sorry km nmewakwaza
 
Mbona mada kama yako ilijadiliwa jana na bado mjadala unaendelea!

"Guys I'm really confused with the situation and I can not hold to myself kuliweka hadharani.".

👆
Mbona unaandika like a girl?
Ilijadiliwa wap mkuu !? Npeni msaada msifanye hvo
 
Hizo huwa zinatokea sana hasa kwa hiyo age hadi ukifika 30 una settle akili na mwili unapiga show nzuri TU Wala usiwe na hofu
Halafu Cha kwanza kwa mpenzi wako mbona hata 30mns unaenda binafsi huwa naenda hizo na ni above 30 tena mbali sana suala hapo ni utulivu wa akili na mwili uwe na nguvu otherwise sioni kuwa una shida isipokuwa ni hofu TU
NB:
Usiache kutembea asubuhi au jioni ni muhimu sana
Ushauri wako nmeuscreenshot nashukuru san mkuu.
 
Unajiua kisaikologia young boy, relax jiamini kama mwanaume, kuna jamaa moja akimwona mwanamke alofanya naye appointment, anamkimbizia ile kuingiza tu amemaliza kama jogooo😄, we hofu ndo inakua wala hauna tatizo.
Mkuu nashukuru sana kwa ushauri huu huwenda ni kwel kbs.
 
Back
Top Bottom