Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Acha kuji dronedrake vinginevyo itakuwa kama utambi. Zakuambiwa changanya na zako mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu ntajitahd sana nmepokea ushauri wako na naanza kuufanyia kazi.Kazana kunywa maji mengi
Mkuu mm mwenyew sipend tu niwe nae hv ila next year mambo yakiwa vzr namuweka ndani.Ukimuoa tutakupa maujuzi kwasasa bd wewe ni mdogo, yaani miaka 4 unamchungulia mtoto wa watu Bila kutoa mahalo kweli halafu eti tukupe maujanja mimi siwezi na Ndiyo maana adhabu umeanza kuipata mapemaa
Kaka siombi ujuzi ila hili ni tatzo nakuombeni mnisaidie nfanye nn kuepuka hii hali !? Sorry km nmewakwaza27 years unaomba ujuzi humu na tubinti twako😔😔😔. Kijana jiheshimu sana.
Ukianza kujiheshimu, swala la tendo halitokua taabu kwako.
Ndy mkuu ila mara nying tulkuwa tunatumia kinga hasa kwenye zile siku za noma na peku n mara nyingi tu sasa sjui nnatatzo! DahKwahiyo tokea 2020 unamwagia ndani na hakuna mimba?
Tusaidiane tu kaka .Kuna tatizo kubwa naliona kwa wadogo zangu wa Mwaka 1998 - 2000,Sijui mmepatwa na kitu gani!
Ilijadiliwa wap mkuu !? Npeni msaada msifanye hvoMbona mada kama yako ilijadiliwa jana na bado mjadala unaendelea!
"Guys I'm really confused with the situation and I can not hold to myself kuliweka hadharani.".
👆
Mbona unaandika like a girl?
Duh Asante mkuu ingawa umenichanganya kdg.Kula km kula km kijana......
But I know nothing about the situation Sir, Is it because of masterbuting perhaps!? Maana I used to practice it.Your mind knows all
Dah tujadili mada mkuu nahtaji msaada.Miaka 4 umekaa na huyo mchumba wako na hakutaka kukuacha coz hujajitambulisha kwao na yeye kwenu hata hawamjui,
But sasa hivi ndio anataka kukuacha kisa humfikishi!
Kweli nyie mmekutana Pipa na Mfuniko.
Saf mkuu nashukuru sana ngoja nikapitie huko🙏Pole sana mkuu.. nenda JF doctor Kuna nyuzi kibao kama huu watu wametoa ufafanuzi pale
Hii ni nyingne mkuu itakuwa mada tu zimefanana, msaada tafadhali.Hii mada ina account ngapi ya mtu mmoja
Asante mkuu kwakwel mm nmeshaacha.ACHENI kupiga puchu mtakufaaaa
Ushauri wako nmeuscreenshot nashukuru san mkuu.Hizo huwa zinatokea sana hasa kwa hiyo age hadi ukifika 30 una settle akili na mwili unapiga show nzuri TU Wala usiwe na hofu
Halafu Cha kwanza kwa mpenzi wako mbona hata 30mns unaenda binafsi huwa naenda hizo na ni above 30 tena mbali sana suala hapo ni utulivu wa akili na mwili uwe na nguvu otherwise sioni kuwa una shida isipokuwa ni hofu TU
NB:
Usiache kutembea asubuhi au jioni ni muhimu sana
Mkuu nashukuru sana kwa ushauri huu huwenda ni kwel kbs.Unajiua kisaikologia young boy, relax jiamini kama mwanaume, kuna jamaa moja akimwona mwanamke alofanya naye appointment, anamkimbizia ile kuingiza tu amemaliza kama jogooo😄, we hofu ndo inakua wala hauna tatizo.
Asante sana mkuu nalifanyia kazi hili.Mbona unajua kiingereza si uingie Google how to overcome pre mature ejaculation usome nondo hizo na uzifanyie kazi?
Asante sana mkuu kwa maneno yako.Wanaume wengi wameathirika kisaikolojia sana hasa wanapoambiwa na wachumba zao kuwa hawajaridhika.Kijana tulia jiamini utarejea katika hali yako
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app