Kwani mpaka sasa Bao la pili halitoki?Mkuu tatzo sio kumridhisha Mwanamke ispokuwa tatzo ni kwann nawahi san kufka kileleni na hii sio kawaida yangu mkuu ndio maana nmeulza nijue kama ni hali ya kawaida au nmepatwa na tatzo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mpaka sasa Bao la pili halitoki?Mkuu tatzo sio kumridhisha Mwanamke ispokuwa tatzo ni kwann nawahi san kufka kileleni na hii sio kawaida yangu mkuu ndio maana nmeulza nijue kama ni hali ya kawaida au nmepatwa na tatzo.
Ndy mkuu ila mara nying tulkuwa tunatumia kinga hasa kwenye zile siku za noma na peku n mara nyingi tu sasa sjui nnatatzo! Dah
NakaziaKazana kunywa maji mengi
Hili litakuwa pipa ambako halina mfunikoPole sana mkuu.. nenda JF doctor Kuna nyuzi kibao kama huu watu wametoa ufafanuzi pale
Chaputa tunasingiziwa sanaACHENI kupiga puchu mtakufaaaa
Dah bora ata wewe zamani ulikuwa unafika dakika 5 mie toka nianze kugegeda sijawahi pita sekunde 20 mbaya zaidi nina kibamiaWakuu heshima yenu,
Mimi ni kijana Aged 27 sijaoa ila nina mchumba tangu mwaka 2020 ila bado hatujatambulishana makwetu, sina mtoto na wala sijawahi kumpa ujauzto manzi yeyote.
Kilichonileta hapa Jukwaani ni kutaka msaada wenu kwa wale wakali wa hizi kazi ( Mambo ya kitandani).
Iko hv Juzi wakati npo faragha na huyo mchumba wangu nlishindwa kufua dafu kbs, tatzo lilikuwa ninawahi kumaliza (ejaculate) na sio kawaida yangu kbs.
Hii hali imenipata ni mara ya pili sasa na imeanza kuninyima furaha kbs imefanya mchumba kaninunia ety simfikishi km hapo awali ,naomba nikiri hapo awali nlkuwa napga ushindo wa kwanza baada ya km dk5 hv na mshindo wa pili nlkuwa simalizagi kbs hadi yeye anakuwa anamalza mara 2 mm bado na nlkuwa naishia hapo tu na anakuwa ameua show kbs kwa upande wake.
Sasa ndg zangu naomba mnisaidie hata kwa ushauri tu maana hii ni aibu na inaniharibia mahusiano yangu sasa, shida itakuwa ni nini? Kwanini nawahi ku ejaculate? Haikuwa hivyo hapo nyuma why now? Guys I'm really confused with the situation and I can not hold to myself kuliweka hadharani.
Hadi nmeanza kufikiria au sina nguvu za kiume? Ikizingatiwa sijawahi kumpa demu yoyote ujauzto tangu nmeyajua Mapenz, naumia sana.
Najua kuna watu hii hali imewahi kuwatokea naombeni kujua mlifanya nini mkawa sawa tena yani mkaendelea kutembeza dudu fresh tu na wapenz wenu wakaenjoy.
Natanguliza Shukurani.
Hiyo inaitwa over testing, yaani una jaribu chombo hadi kinapata hitilafu mteja anafika ulimwambia kiko tayari anakuta hakifanyi kazi kabisa km ni gari engine ime nokiKwahiyo tokea 2020 unamwagia ndani na hakuna mimba?
Bao la pili inakuwa hivyo hivyo sekunde 20? Na la tatu je inakuwaje?Dah bora ata wewe zamani ulikuwa unafika dakika 5 mie toka nianze kugegeda sijawahi pita sekunde 20 mbaya zaidi nina kibamia
Amenikumbusha, The Comedy' walikuwa wanatuchangamsha akiliBao la pili inakuwa hivyo hivyo sekunde 20? Na la tatu je inakuwaje?
Bao la pili naweza kwenda angalau dakika moja la tatu nakojoa povuBao la pili inakuwa hivyo hivyo sekunde 20? Na la tatu je inakuwaje?
La tatu dakika ngapi?Bao la pili naweza kwenda angalau dakika moja la tatu nakojoa povu
Hilo kama dakika 8La tatu dakika ngapi?
La kwanza kuwahi ni kawaida hasa ukiwa hujafanya muda mrefu, la pili na la tatu yanachelewa sana, hata nusu saa inazidi, labda kama unatupanga, ila kama ni kweli, tafuta tiba.Hilo kama dakika 8
😂😞😂😞...Kuna tatizo kubwa naliona kwa wadogo zangu wa Mwaka 1998 - 2000,Sijui mmepatwa na kitu gani!