Jamani kijana wenu nimeaibika nahitaji msaada wenu ili kuyaepuka haya yasijirudie

Mpumbavu kweli, unaacha kuwaza maisha unawaza kumridhisha mwanamke.

Kwa akili Yako unadhani mwanamke anaridhika?.
Endelea kujidanganya.
 
Asante sana mkuu kwa ushauri mzuri ,Ubarikiwe na Mungu.
 
Umenifurahisha sana
 
Mpumbavu kweli, unaacha kuwaza maisha unawaza kumridhisha mwanamke.

Kwa akili Yako unadhani mwanamke anaridhika?.
Endelea kujidanganya.
Mkuu tatzo sio kumridhisha Mwanamke ispokuwa tatzo ni kwann nawahi san kufka kileleni na hii sio kawaida yangu mkuu ndio maana nmeulza nijue kama ni hali ya kawaida au nmepatwa na tatzo.
 
Kabla sijasoma mpaka mwisho inaonekana unafanya ngono zembe.

Kwa nin vijana tunapenda kuendekeza ngono katikati ya magonjwa tele ya zinaa?
 
Je mnakutana mazingira ya amani?
Je unapata muda wa kutosha?
Je una madeni, kausha damu?
Je ni raundi ya kwanza ya pili au ya tatu?

Tafuta mazingira tulivu usiwe na stress, pata muda wa kutosha, utakuja kutoa ushuhuda
 
Mbona mada kama yako ilijadiliwa jana na bado mjadala unaendelea!

"Guys I'm really confused with the situation and I can not hold to myself kuliweka hadharani.".

👆
Mbona unaandika like a girl?
In reality though if keep on intertaining
Pia lazima awe na pesa
Kabla sijasoma mpaka mwisho inaonekana unafanya ngono zembe.

Kwa nin vijana tunapenda kuendekeza ngono katikati ya magonjwa tele ya zinaa?
Wao kuwa na girl friend ni km fashion
 
Mkuu mm mwenyew sipend tu niwe nae hv ila next year mambo yakiwa vzr namuweka ndani.
Leongo tuwe na Taifa linalojiheshimu vuta picha unamtoto wako wa kike kuna lijamaa linachimba tu mgodi kwa miaka 4 SI inamaana mtoto wako ni Malaya au Tena unakuja kuuliza humu nasisi tukuunge mkono kwenye uzinzi?
 
Mkuu mm mwenyew sipend tu niwe nae hv ila next year mambo yakiwa vzr namuweka ndani.
Lengo tuwe na Taifa linalojiheshimu vuta picha unamtoto wako wa kike kuna lijamaa linachimba tu mgodi kwa miaka 4 SI inamaana mtoto wako ni Malaya au Tena unakuja kuuliza humu nasisi tukuunge mkono kwenye uzinzi?
 
Wenzio tunalalamikiwa tunachelewa kumaliza shoo wewe unajilaumu ukiwahi kumaliza wengine bao la kwanza linatafutwa kwa position km 8 zinapigwa kongfu taikwando za kutosha
 
Sikia dogo...
1: Piga zoezi
2:kunywa tangawizi na energy ya azam...utapiga shoo atakimbia
Tangawizi + kitunguu maji + kitunguu swaumu....
3: mdalasini + tangawizi kali + azam energy
Hii formula ya kupiga malaya..hapo mkeo atasema
 
Mm ilinikuta siku moja nip n mchuchu ghetto alaf nikapig kimoja nilipotak kuendelea ngoma imegoma kuinuka busti bado tulisukume imegoma nikamwambia umenigomea leo 🫣🫣 kwa aibu kwaiyo relax
 
Huyo mwanamke umezidi kumzoea kiasi kwamba unamuona wa kawaida, wewe ki ufupi huna tatizo,Kama huamini tafuta manzi nyingine yenye mvuto uone utapiga show ya kibabe.
Ikitokea umemzoea sana mwanamke kingono ili ulifurahie tendo ubongo wako lazima ufanye kazi kubwa kuhakikisha unajisikia raha na hapa matokeo yake utawahi ku ejeculate, hili tatizo huwatokea zaidi watu walioathiriwa na Punyeto, mwanzoni atapiga show vizuri kama mara tatu mara nne baadae ni wa sekunde.
Ukikutana na papuchi mpya ubongo haufanyi kazi kubwa kufanya viungo vyako kureact ili ufurahie tendo matokeo yake utakuwa unaweza hata kujitoa mchezoni kiakili na kuanza kufikiria madeni mashine ikawa ngangari inasindilia.
Ushauri kula vyakula vitakavyokuongezea hamu ya tendo, chukua mazoezi ,Jipeni muda sio mnafanya kila siku na jaribu kubadilisha mazingira kwa mfano kama mmezoeana kutiana Geto nendeni mkatiane hata gesti, pili huyo mwanamke tofauti ya kujinunisha aongeze vitu vipya vya kukuhamasisha aache ubinafsi wa kutaka kuchanua miguu na kuridhishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…