Jamani kitaa ni kigumu sana, ukikutana na watu wa namna hii usiache kutoa msaada

Jamani kitaa ni kigumu sana, ukikutana na watu wa namna hii usiache kutoa msaada

Huwa nafanya hivyo kuna siku nilikutana na mawakala wanaotembea kwa mguu wanasijiri laini wamechoka na wana njaa hallafu hawana hela.

Nilikuwa na pikipiki wakaniomba lift wakasema hawana wana buku yaani wamesajiri laini moja toka asbuhi hadi saa9 nikawaambia bila buku2 sibebi wakasema haya .... Yote ilikuwa zuga tu kuona kama kweli hawana hela nikawasha niende mara yule wa kike akasema ni mbebe yeye kwa buku1 maana hata nguvu hana amechoka sana nikaichukua ile buku nikamuita na jamaa nikawabeba.

Niliwauliza maswali kadhaa wa kadhaa then tukafika kwa mama ntilie nikawashusha nikawaambie waagize msosi wa nguvu wale washibe walitumia kama buku6 wote nikawaacha wanakula nikawapa na buku10 wagawane 5-5 na ile buku yao.
Safi sana mkuu. Kitaa kigumu. Nawaonea huruma sana hao vijana ila la msingi wakikwambia wanaunga bundle uwape simu usiwape watakuachia kilio.
 
Safi sana mkuu. Kitaa kigumu. Nawaonea huruma sana hao vijana ila la msingi wakikwambia wanaunga bundle uwape simu usiwape watakuachia kilio.
Huwa hata sisajiri kwa hao.Niliwahi mtimua mmoja alikuwa ana mlaghai wife amsajirie line yenye offer kabambe nikamwambie kamsajirie mama yako
 
Huwa nafanya hivyo kuna siku nilikutana na mawakala wanaotembea kwa mguu wanasijiri laini wamechoka na wana njaa hallafu hawana hela.

Nilikuwa na pikipiki wakaniomba lift wakasema hawana wana buku yaani wamesajiri laini moja toka asbuhi hadi saa9 nikawaambia bila buku2 sibebi wakasema haya .... Yote ilikuwa zuga tu kuona kama kweli hawana hela nikawasha niende mara yule wa kike akasema ni mbebe yeye kwa buku1 maana hata nguvu hana amechoka sana nikaichukua ile buku nikamuita na jamaa nikawabeba.

Niliwauliza maswali kadhaa wa kadhaa then tukafika kwa mama ntilie nikawashusha nikawaambie waagize msosi wa nguvu wale washibe walitumia kama buku6 wote nikawaacha wanakula nikawapa na buku10 wagawane 5-5 na ile buku yao.
Kama ni kweli basi memo yakufae katika maisha yako, maana hamkawii kutunywesha chai
 
Kama ni kweli basi memo yakufae katika maisha yako, maana hamkawii kutunywesha chai
Hapa tunaandika ili watu wajifunze wala sio kujionyesha uraiani hatuwezi wala kusema. Hii ni kweli na huwa nafanya hivi.Ni vitu vidogo sana hivi mkuu kuwapa watu 10 na kuwapa chakula unashindwa vipi kama unayo? mbona kwenye bar tunachoma nyma na kunywa hata 200k kwa usiku1 tu
 
Huwa nafanya hivyo kuna siku nilikutana na mawakala wanaotembea kwa mguu wanasijiri laini wamechoka na wana njaa hallafu hawana hela.

Nilikuwa na pikipiki wakaniomba lift wakasema hawana wana buku yaani wamesajiri laini moja toka asbuhi hadi saa9 nikawaambia bila buku2 sibebi wakasema haya .... Yote ilikuwa zuga tu kuona kama kweli hawana hela nikawasha niende mara yule wa kike akasema ni mbebe yeye kwa buku1 maana hata nguvu hana amechoka sana nikaichukua ile buku nikamuita na jamaa nikawabeba.

Niliwauliza maswali kadhaa wa kadhaa then tukafika kwa mama ntilie nikawashusha nikawaambie waagize msosi wa nguvu wale washibe walitumia kama buku6 wote nikawaacha wanakula nikawapa na buku10 wagawane 5-5 na ile buku yao.
Ubarikiwe, tunakuahidi hatoolewa kweli mkeo tutamlinda ukifa,una moyo mzuri
 
Wana hela hao sana mkuu ,kutafuta huwa ni kugumu ,hata yule marley dollar ukimkuta site kwake machimbo anavyopika ugali na dagaa unaweza ukamuonea huruma kumbe ni bilionea.


 
Back
Top Bottom