Mr fantastic_
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 377
- 502
Unamuonea huruma huyo mwenzio anabiashara yake safi kabisa.Ukikutana na watu wa namna hii basi fanya kununua kitu
View attachment 3218915
Hata ukiwa hauna njaa fanya kuwa sehemu ya furaha kwao. Kitaa ni kigumu sana wanandugu.
View attachment 3218916