Jamani kitaa ni kigumu sana, ukikutana na watu wa namna hii usiache kutoa msaada

Jamani kitaa ni kigumu sana, ukikutana na watu wa namna hii usiache kutoa msaada

Asante sana ubalikiwe

Lakini sasa mtumish Kuna sadaka za aina mbili

Yaan aina za sadaka ni mbili

1. Kwa makuhani, yaan kanisani
2. Kwa wahitaji, yaan masikin, hospital wagonjwa wafungwa na omba omba

Kwahiyo jitaid utoe kote kote mtumish

Yote kwa yote nakusapot sana

MUNGU MWENYEZI AKUBARIKI SANA
Wee ni kuhani au sio....sadaka ni sadaka,inatakiwa kumpatia mwenye iwitaji na ni ziada ndo maana ya sadaka,makuhani kuna fungu lakumi watakulamo huko
 
Huwa nafanya hivyo kuna siku nilikutana na mawakala wanaotembea kwa mguu wanasijiri laini wamechoka na wana njaa hallafu hawana hela.

Nilikuwa na pikipiki wakaniomba lift wakasema hawana wana buku yaani wamesajiri laini moja toka asbuhi hadi saa9 nikawaambia bila buku2 sibebi wakasema haya .... Yote ilikuwa zuga tu kuona kama kweli hawana hela nikawasha niende mara yule wa kike akasema ni mbebe yeye kwa buku1 maana hata nguvu hana amechoka sana nikaichukua ile buku nikamuita na jamaa nikawabeba.

Niliwauliza maswali kadhaa wa kadhaa then tukafika kwa mama ntilie nikawashusha nikawaambie waagize msosi wa nguvu wale washibe walitumia kama buku6 wote nikawaacha wanakula nikawapa na buku10 wagawane 5-5 na ile buku yao.
🙏🙏
 
Mmegusia wasajili laini 😔 hawa watu wanapitia magumu sana! Juzi kuna mama mmoja alimnunulia viatu dada msajili laini maana sio kwa taabu zile 😔
Wa kike wanadharau sana hata ukimuomba namba badaye hajibu sasa mtu wa hivyo ni mwema kweli
 
Huwa nafanya hivyo kuna siku nilikutana na mawakala wanaotembea kwa mguu wanasijiri laini wamechoka na wana njaa hallafu hawana hela.

Nilikuwa na pikipiki wakaniomba lift wakasema hawana wana buku yaani wamesajiri laini moja toka asbuhi hadi saa9 nikawaambia bila buku2 sibebi wakasema haya .... Yote ilikuwa zuga tu kuona kama kweli hawana hela nikawasha niende mara yule wa kike akasema ni mbebe yeye kwa buku1 maana hata nguvu hana amechoka sana nikaichukua ile buku nikamuita na jamaa nikawabeba.

Niliwauliza maswali kadhaa wa kadhaa then tukafika kwa mama ntilie nikawashusha nikawaambie waagize msosi wa nguvu wale washibe walitumia kama buku6 wote nikawaacha wanakula nikawapa na buku10 wagawane 5-5 na ile buku yao.
Hongera sana Mkuu
 
Back
Top Bottom