Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Safi sana mkuu. Kitaa kigumu. Nawaonea huruma sana hao vijana ila la msingi wakikwambia wanaunga bundle uwape simu usiwape watakuachia kilio.Huwa nafanya hivyo kuna siku nilikutana na mawakala wanaotembea kwa mguu wanasijiri laini wamechoka na wana njaa hallafu hawana hela.
Nilikuwa na pikipiki wakaniomba lift wakasema hawana wana buku yaani wamesajiri laini moja toka asbuhi hadi saa9 nikawaambia bila buku2 sibebi wakasema haya .... Yote ilikuwa zuga tu kuona kama kweli hawana hela nikawasha niende mara yule wa kike akasema ni mbebe yeye kwa buku1 maana hata nguvu hana amechoka sana nikaichukua ile buku nikamuita na jamaa nikawabeba.
Niliwauliza maswali kadhaa wa kadhaa then tukafika kwa mama ntilie nikawashusha nikawaambie waagize msosi wa nguvu wale washibe walitumia kama buku6 wote nikawaacha wanakula nikawapa na buku10 wagawane 5-5 na ile buku yao.
Huwa hata sisajiri kwa hao.Niliwahi mtimua mmoja alikuwa ana mlaghai wife amsajirie line yenye offer kabambe nikamwambie kamsajirie mama yakoSafi sana mkuu. Kitaa kigumu. Nawaonea huruma sana hao vijana ila la msingi wakikwambia wanaunga bundle uwape simu usiwape watakuachia kilio.
Hapo sawa.Nilikosea buku ten wagawane 5-5 nimerekebisha ahsante sana
Hii ndio sadaka ya kweli kuliko zote.Nina miaka sitoi sadaka makanisani badala yake huwa nafanya hivi huwa nawapa wahitaji moja kwa moja michango ya kanisani nimshaacha muda sasa
Safi sana jobless pro max😃ambacho huwa nafanya ni kuwa nunulia chakula(mikate).Watoto wa mitaani au watu wazima wenye ulemavu wa miguu, mikono au upofu.
Kama ni kweli basi memo yakufae katika maisha yako, maana hamkawii kutunywesha chaiHuwa nafanya hivyo kuna siku nilikutana na mawakala wanaotembea kwa mguu wanasijiri laini wamechoka na wana njaa hallafu hawana hela.
Nilikuwa na pikipiki wakaniomba lift wakasema hawana wana buku yaani wamesajiri laini moja toka asbuhi hadi saa9 nikawaambia bila buku2 sibebi wakasema haya .... Yote ilikuwa zuga tu kuona kama kweli hawana hela nikawasha niende mara yule wa kike akasema ni mbebe yeye kwa buku1 maana hata nguvu hana amechoka sana nikaichukua ile buku nikamuita na jamaa nikawabeba.
Niliwauliza maswali kadhaa wa kadhaa then tukafika kwa mama ntilie nikawashusha nikawaambie waagize msosi wa nguvu wale washibe walitumia kama buku6 wote nikawaacha wanakula nikawapa na buku10 wagawane 5-5 na ile buku yao.
Hapa tunaandika ili watu wajifunze wala sio kujionyesha uraiani hatuwezi wala kusema. Hii ni kweli na huwa nafanya hivi.Ni vitu vidogo sana hivi mkuu kuwapa watu 10 na kuwapa chakula unashindwa vipi kama unayo? mbona kwenye bar tunachoma nyma na kunywa hata 200k kwa usiku1 tuKama ni kweli basi memo yakufae katika maisha yako, maana hamkawii kutunywesha chai
🙏🙏Hapa tunaandika ili watu wajifunze wala sio kujionyesha uraiani hatuwezi wala kusema. Hii ni kweli na huwa nafanya hivi.Ni vitu vidogo sana hivi mkuu kuwapa watu 10 na kuwapa chakula unashindwa vipi kama unayo? mbona kwenye bar tunachoma nyma na kunywa hata 200k kwa usiku1 tu
Ukikutana na watu wa namna hii basi fanya kununua kitu
View attachment 3218915
Hata ukiwa hauna njaa fanya kuwa sehemu ya furaha kwao. Kitaa ni kigumu sana wanandugu.
View attachment 3218916
Niite raisi wa ma jobless pro max, kwa Sasa nasubiri miujiza tu.Safi sana jobless pro max😃
Ubarikiwe, tunakuahidi hatoolewa kweli mkeo tutamlinda ukifa,una moyo mzuriHuwa nafanya hivyo kuna siku nilikutana na mawakala wanaotembea kwa mguu wanasijiri laini wamechoka na wana njaa hallafu hawana hela.
Nilikuwa na pikipiki wakaniomba lift wakasema hawana wana buku yaani wamesajiri laini moja toka asbuhi hadi saa9 nikawaambia bila buku2 sibebi wakasema haya .... Yote ilikuwa zuga tu kuona kama kweli hawana hela nikawasha niende mara yule wa kike akasema ni mbebe yeye kwa buku1 maana hata nguvu hana amechoka sana nikaichukua ile buku nikamuita na jamaa nikawabeba.
Niliwauliza maswali kadhaa wa kadhaa then tukafika kwa mama ntilie nikawashusha nikawaambie waagize msosi wa nguvu wale washibe walitumia kama buku6 wote nikawaacha wanakula nikawapa na buku10 wagawane 5-5 na ile buku yao.
Kutoa Sadaka kwa Wahitaji ni Sadaka Tosha Mbele za Mungu.Nina miaka sitoi sadaka makanisani badala yake huwa nafanya hivi huwa nawapa wahitaji moja kwa moja michango ya kanisani nimshaacha muda sasa
😂😂Pres dNiite raisi wa ma jobless pro max, kwa Sasa nasubiri miujiza tu.
Ma jobless pro max stand up😂😂😂Pres d
🤞🏿🙌🏿Tusubiri miujiza.Ma jobless pro max stand up😂
Naam🤞🏿🙌🏿Tusubiri miujiza.