Mr fantastic_
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 377
- 502
Unamuonea huruma huyo mwenzio anabiashara yake safi kabisa.Ukikutana na watu wa namna hii basi fanya kununua kitu
View attachment 3218915
Hata ukiwa hauna njaa fanya kuwa sehemu ya furaha kwao. Kitaa ni kigumu sana wanandugu.
View attachment 3218916
Wee ni kuhani au sio....sadaka ni sadaka,inatakiwa kumpatia mwenye iwitaji na ni ziada ndo maana ya sadaka,makuhani kuna fungu lakumi watakulamo hukoAsante sana ubalikiwe
Lakini sasa mtumish Kuna sadaka za aina mbili
Yaan aina za sadaka ni mbili
1. Kwa makuhani, yaan kanisani
2. Kwa wahitaji, yaan masikin, hospital wagonjwa wafungwa na omba omba
Kwahiyo jitaid utoe kote kote mtumish
Yote kwa yote nakusapot sana
MUNGU MWENYEZI AKUBARIKI SANA
ππHuwa nafanya hivyo kuna siku nilikutana na mawakala wanaotembea kwa mguu wanasijiri laini wamechoka na wana njaa hallafu hawana hela.
Nilikuwa na pikipiki wakaniomba lift wakasema hawana wana buku yaani wamesajiri laini moja toka asbuhi hadi saa9 nikawaambia bila buku2 sibebi wakasema haya .... Yote ilikuwa zuga tu kuona kama kweli hawana hela nikawasha niende mara yule wa kike akasema ni mbebe yeye kwa buku1 maana hata nguvu hana amechoka sana nikaichukua ile buku nikamuita na jamaa nikawabeba.
Niliwauliza maswali kadhaa wa kadhaa then tukafika kwa mama ntilie nikawashusha nikawaambie waagize msosi wa nguvu wale washibe walitumia kama buku6 wote nikawaacha wanakula nikawapa na buku10 wagawane 5-5 na ile buku yao.
Wa kike wanadharau sana hata ukimuomba namba badaye hajibu sasa mtu wa hivyo ni mwema kweliMmegusia wasajili laini π hawa watu wanapitia magumu sana! Juzi kuna mama mmoja alimnunulia viatu dada msajili laini maana sio kwa taabu zile π
Hongera sana MkuuHuwa nafanya hivyo kuna siku nilikutana na mawakala wanaotembea kwa mguu wanasijiri laini wamechoka na wana njaa hallafu hawana hela.
Nilikuwa na pikipiki wakaniomba lift wakasema hawana wana buku yaani wamesajiri laini moja toka asbuhi hadi saa9 nikawaambia bila buku2 sibebi wakasema haya .... Yote ilikuwa zuga tu kuona kama kweli hawana hela nikawasha niende mara yule wa kike akasema ni mbebe yeye kwa buku1 maana hata nguvu hana amechoka sana nikaichukua ile buku nikamuita na jamaa nikawabeba.
Niliwauliza maswali kadhaa wa kadhaa then tukafika kwa mama ntilie nikawashusha nikawaambie waagize msosi wa nguvu wale washibe walitumia kama buku6 wote nikawaacha wanakula nikawapa na buku10 wagawane 5-5 na ile buku yao.