Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,647
<br /> <br / kila m2 anafanya kazi na anamaisha yake na wa4 wako mikoani m1 ndo yk mji m1 na mama na yy kaolewa na anamaisha, hakuna anayenufaika wala ku2mia misaada ya mama wote tunapenda mama yetu aish kwa rahaHuenda tatizo sio la kaka yenu, bali nanyie ni tatizo. Kumsaidia mama yenu sion tatizo huenda amekuwa akimsaidia MAMA yenu lakini badala ya yeye kufaidika mnafaidika ninyi. Kila mt atakula kwa jasho lake.
<br /> <br / MAISHA NI MAGUMU SANA MBONA SISI TULIOOLEWA TUNAJITAHD KUMTUNZA MAMA MZAZ NA WAKWE KAKA YEYE HATAKI KABISA KUMTUNZA MAMA MZAZI ILA KWA WAKWE ANAPELEKA KILA KI2Ndugu zetu muwe mnakubali kuwa maisha magumu, msiwe mnafikiria tu kaka zenu tumelogwa, inakera sana watu wenye mawazo finyu
<br /><br /> <br / garama za oparation tulichana watoto wote wa kike alipoambiwa kaka achangie akatoa elf 50 wifi akachukia akaondoka
<br /> <br / hapana angel ni wa nne sasha ni wa5 na m2humiwa ni wa 3<br /><br /> <br /><br /> angel msofe ndio sasha girl!!!
<br /> <br / hapana angel ni wa nne sasha ni wa5 na m2humiwa ni wa 3
Dah! shem hii sredi inavyokwenda mwisho ataibuka na balozi wa nyumba kumi wa kijiji cha sasha girl na angel msofe. stay tuned!Eh? makubwa haya
So na Mtuhumiwa naye anatumia ID gani hapa?? mbona mna mambo nyie wana?? mwataka kutuuzia wanaJF kesi??
Hebu kaeni kamawanandugu na ongeeni muyamalize!!
Dah! shem hii sredi inavyokwenda mwisho ataibuka na balozi wa nyumba kumi wa kijiji cha sasha girl na angel msofe. stay tuned!
Shemeji yaani acha tu tangu nimepigwa na dafrao kweli Hus kanifungua akili!! ah
Natafuta ile post yako shem yaani imekwenda shule hasa afu ukamalizia na warning!!.............................umenipa sababu ya kutabasamu leo kusema ukweli.
Hapana shem wangu bandiko lako lina chapa yako kabisa!! Hahh hebu usinkumbushie Mbu wangu hivi yu wapi naye huyu jioni hii!?! Angejiones vituko hivi!
Inawezekana kabisa shem kuwa hii ilikuwa against hii!! Ila wamenimaliza kuigeuza Jf MMU sijui mwaiita Family Court
Mbu yuko bizee anakutungia mashairi, hehehe si unajua Mbu hapa mtaani anaitwa "titanic"?, yeye akipenda hata meli ikizama basi yeye anaelea na mapenzi yake. Balaa wallahi!
bek to red hapo: Mimi wamenifurahisha kweli aisee! unajua wanakuja kwa wingi ili kuonesha msisitizo! Ole wenu muwashauri kinyume na wanavyotegemea hakyababu patakuwa hapatoshi kwenye hii sredi!
ninakaka yangu wa pekee ktk familia ya watu 5.ameoa mwanamke wa kioldmoshi.jamani dada huyo hafai.kwa uchoyo,mdomo na ubinafsi.kuna siku kaka yangu alitoa elfu 50 kumpa mama yangu imsaidie amefanyiwa oparation .mwanamke akachapa lapa kwao.yani hataki msaada wowote uende kwa mama yangu.ameshatusababisha ndugu wote tugombane na kaka yetu.ili aweze kufaidi peke yake kwa kumtawala.juzi mama yangu aliomba pesa ya kununua jiko kwa kaka.mkewe akatuma msg kwa mama.kwamba mumewe anabanwa sana na ujenzi kama hana mahali pengine pa kupata hela akavunje mahali aibe.ikabidi ndugu tuingilie kati kumuuliza wifi yetu kulikoni jamani anatutukania mama yetu aliyetulea kwa shida toka afariki baba yetu miaka 23 iliyopita.cha ajabu kaka alisaport alichokifanya na kukisema mkewe.yaani tumebaki midomo wazi. Na mshangao juu.jamani huyu kaka kalogwa au ni upoyoyo wake mwenyewe?
<br /> <br / 2meshamuita na kumuasa sana abadilike 2shirikiane kumlea mama anasema hana hela ya kumpa mama ana hela ya kunya bia 2Ushauri wangu:<br /> Muiteni kaka yenu muongee naye na kama haeleweki muachane naye kabisa na mchangie nguvu nyie 4 ili kumsaidia huyo mama yetu hamtashindwa na Mungu atawasaidieni na huyo kaka yenu atakiona cha mtema kuni muda siyo mrefu! Poleni sana kwani hata kwetu pia wapo!
Kaka zangu wote mlioisoma kisa hiki nawasihi sana mnapotaka kuoa chunguzeni sana wanawake mnaotarajia kuwaoa
<br /> <br / alianza kuish na mke huyu kwa siri mke alipopata ujauzijo ikabidi amweleze mama, kama familia 2kampokea wifiye2 kwa furaha na muda wa kujifungua ukafika akajifungua hapo ndo akanza kuonyesha makucha pale alipokua mzaz wa siku 2 akamkuta mamy anakunywa chai na mandaz akamwambia mumewe kanyimwa mandaz na mama (kwe2 mzaz anakula mtori, supu na uji) na pia kama alipenda mandaz kwanini asingesema mpaka amwambie kaka?<font color="#b22222"><span style="font-family: book antiqua"><font size="3"><br /> ...dahhh,....kuna dalili ndoa hii ilikosa baraka za huyo mama na nyie kina dada tangu mwanzo.<br /> Tatizo ni huko Old Moshi au huyo mwanamke?...kwa experience yangu ndogo ya mambo haya, nahisi<br /> mambo yamewafika kooni huyo kaka yenu na mkewe wanavyoingiliwa kwenye ndoa yao. [Japo sio busara,] wamejionea liwalo na liwe.</font></span></font>
<br /> <br / alianza kuish na mke huyu kwa siri mke alipopata ujauzijo ikabidi amweleze mama, kama familia 2kampokea wifiye2 kwa furaha na muda wa kujifungua ukafika akajifungua hapo ndo akanza kuonyesha makucha pale alipokua mzaz wa siku 2 akamkuta mamy anakunywa chai na mandaz akamwambia mumewe kanyimwa mandaz na mama (kwe2 mzaz anakula mtori, supu na uji) na pia kama alipenda mandaz kwanini asingesema mpaka amwambie kaka?
<br /><br />Taratibu mama yangu mwe............unajua the way alivyoiweka mtoa mada ni wazi kuwa mahusiano yao si mazuri na hatujui imekuwaje yakafika hapo yalipofikak. Mytake inawezekana kabisa huyu mke amekuwa provoked kwa muda mrefu na kwa kila aina ya ushari sasa kaamuwa kuwatolea uvivu......... besides amemjibu mkwewe kuwa wanajenga mie nampa benefit of doubt (ndio si heshima kumjibu dry mkweo) but tungejua pia heshima anayojipa huyo mkwe!! Kusema ukweli maisha ya ndoa/uhusiano kati yangu na mkwe wangu nategemea uwe wa kirafiki sana tu awe mama yangu...........kitendo cha yeye Mama Mkwe kwenda kumlilia mume wangu shida pasipo mie kujua kinanipa utata kidogo (samahani kama mie nimelelewa tofauti mtanisamehe) but ningetegemea kuwa hiyo operation mie mwanae ninajua na shida yoyote we talk na saa ingine hana haja ya kuomba. <br /><br />
<br /><br />
Tutamjudge huyu mke kwa kosa la kujibu dry (si heshima ndio) but also hatutampatia Sasha sympathy kwa kuwa hatuujui upande wa pili wa shilingi nyumba kubwa,<br /><br />
<br /><br />
Hilo la Mama mkwe kumwomba mwanae pesa bila mkwewe kujua,........ ni thread ya peke yake. Na kama si tatizo iweje basi aloombwa akalifikishe tena kwa mkewe???!! au ndo mtasema karogwa??
<br />sasa weee dada buku 50 tu inakutoa roho mpaka unatangaza humu?? vitu vidogo tu hivyo,,au wee ndo umelogwa?? kwanza umeolewa kweli wewe? labda tuanzie hapo