Jamani likaka langu limelogwa

Huenda tatizo sio la kaka yenu, bali nanyie ni tatizo. Kumsaidia mama yenu sion tatizo huenda amekuwa akimsaidia MAMA yenu lakini badala ya yeye kufaidika mnafaidika ninyi. Kila mt atakula kwa jasho lake.
<br /> <br / kila m2 anafanya kazi na anamaisha yake na wa4 wako mikoani m1 ndo yk mji m1 na mama na yy kaolewa na anamaisha, hakuna anayenufaika wala ku2mia misaada ya mama wote tunapenda mama yetu aish kwa raha
 
Ndugu zetu muwe mnakubali kuwa maisha magumu, msiwe mnafikiria tu kaka zenu tumelogwa, inakera sana watu wenye mawazo finyu
&lt;br /&gt; &lt;br / MAISHA NI MAGUMU SANA MBONA SISI TULIOOLEWA TUNAJITAHD KUMTUNZA MAMA MZAZ NA WAKWE KAKA YEYE HATAKI KABISA KUMTUNZA MAMA MZAZI ILA KWA WAKWE ANAPELEKA KILA KI2
 
Eh? makubwa haya
So na Mtuhumiwa naye anatumia ID gani hapa?? mbona mna mambo nyie wana?? mwataka kutuuzia wanaJF kesi??
Hebu kaeni kamawanandugu na ongeeni muyamalize!!
Dah! shem hii sredi inavyokwenda mwisho ataibuka na balozi wa nyumba kumi wa kijiji cha sasha girl na angel msofe. stay tuned!
 
Dah! shem hii sredi inavyokwenda mwisho ataibuka na balozi wa nyumba kumi wa kijiji cha sasha girl na angel msofe. stay tuned!

Shemeji yaani acha tu tangu nimepigwa na dafrao kweli Hus kanifungua akili!! ah
Natafuta ile post yako shem yaani imekwenda shule hasa afu ukamalizia na warning!!.............................umenipa sababu ya kutabasamu leo kusema ukweli.
 
Shemeji yaani acha tu tangu nimepigwa na dafrao kweli Hus kanifungua akili!! ah
Natafuta ile post yako shem yaani imekwenda shule hasa afu ukamalizia na warning!!.............................umenipa sababu ya kutabasamu leo kusema ukweli.

Hivi haujagundua bado shem? mimi nakuwa nadesa post zako na za Mbu halaf na edit kidogo tu kujipatia ujiko! na imenisaidia sana kuongeza idadi ya PM zangu. mbarikiwe sana!
bek to ze topik: Hii familia inaonekana ina matatizo sana na inaonekana chimbuko la tatizo ni kila mmoja anataka aweko juu kama antenna if not kwamba huyu mkaka amekwenda against arranged marriage aliopangiwa na familia yake.
 
Hapana shem wangu bandiko lako lina chapa yako kabisa!! Hahh hebu usinkumbushie Mbu wangu hivi yu wapi naye huyu jioni hii!?! Angejiones vituko hivi!

Inawezekana kabisa shem kuwa hii ilikuwa against hii!! Ila wamenimaliza kuigeuza Jf MMU sijui mwaiita Family Court
 

Mbu yuko bizee anakutungia mashairi, hehehe si unajua Mbu hapa mtaani anaitwa "titanic"?, yeye akipenda hata meli ikizama basi yeye anaelea na mapenzi yake. Balaa wallahi!

bek to red hapo: Mimi wamenifurahisha kweli aisee! unajua wanakuja kwa wingi ili kuonesha msisitizo! Ole wenu muwashauri kinyume na wanavyotegemea hakyababu patakuwa hapatoshi kwenye hii sredi!
 

Shem hahhh kesi ya Mbu mie cmo!

Na kweli mwaya si umeona walivyokuwa wakali kila post inayomsupoti wifi mu-old Moshi!! Hebu mie nkae pembeni sina nguvu za kumi wala maneno
 
Kaka yenu ***** sio poyoyo wala nini chamsingi fanyeni kila linalowezekana mama yenu asipatwe nahaja yakumhitaji msaada kaka yenu ama atapata BP kama atahitaj msaada wake
 
Kaka zangu wote mlioisoma kisa hiki nawasihi sana mnapotaka kuoa chunguzeni sana wanawake mnaotarajia kuwaoa
 
<br /> <br / 2meshamuita na kumuasa sana abadilike 2shirikiane kumlea mama anasema hana hela ya kumpa mama ana hela ya kunya bia 2
 
Kaka zangu wote mlioisoma kisa hiki nawasihi sana mnapotaka kuoa chunguzeni sana wanawake mnaotarajia kuwaoa

Angel nikuulize suali moja!
Kabla ya bro wenu kumuowa huyu mdada nyinyi mliubariki uchumba wake na ndoa yake na haya matatizo yakaanza baadae (baada ya kuowana)? au matatizo yalianza (mivutano) kabla ndoa? Pliz be honest.

Ubarikiwe!
 
<br /> <br / alianza kuish na mke huyu kwa siri mke alipopata ujauzijo ikabidi amweleze mama, kama familia 2kampokea wifiye2 kwa furaha na muda wa kujifungua ukafika akajifungua hapo ndo akanza kuonyesha makucha pale alipokua mzaz wa siku 2 akamkuta mamy anakunywa chai na mandaz akamwambia mumewe kanyimwa mandaz na mama (kwe2 mzaz anakula mtori, supu na uji) na pia kama alipenda mandaz kwanini asingesema mpaka amwambie kaka?
 

Dah! nimekupata sasa, hii kesi bora tumsubiri Mbu kwavile yeye ndio selebriti wa hili jukwaa!

suala la kizushi tu! Je nyinyi sasa mnatafuta suluhisho au mmeshaamua kwamba nyinyi na wifi yenu hazitoiva maisha? yaani hakuna nafasi ya maelewano na msamaha ?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Kwakweli mimi nadhani kumwambia mama akavunje benki ni kutokuwa na mipaka na ujeuri, kuna leo na kesho, huyo ni mzazi tu jamani apewe heshima amekosea kujibu hivyo angesema tu hana thts ok.<br />
<br />
Mimi napenda sana kusoma vitabu vya Suze Orman huyu huandika abt finances and also women and money, sheria moja ninayoitimiza ni kuwa honest about my financial situation, kama kweli sina uwezo mimi sina tu na nitasema kwanini sina uwezo huo,<br />
<br />
Sheria nyingine ni kuweka emergency fund, hii inaaply kama mama mkwe anahitaji hiyo operation manake sisi wengine we r lucky kwa mume kuna medical insurance na kwangu kuna medical insurance lakini wazee hawana na ni wazee wetu, kwakweli hata kama sina uwezo nitakopa nimtibie mzazi au mkwe wangu its that simple.<br />
<br />
Anyways ukweli mimi najitahidi sana kuelewa mkwe akimuomba mtoto wake, kwani hata mimi mama ninamsaidia hata bila kuniambia, mume nampa taarifa tu! Na kwa mume wangu mimi mama mkwe wangu ananifuata mojakwamoja na wala sioni shida tena napenda wasaidiwe wapate income fulani ili wasiwe tegemezi, bahati nzuri both sets of parents are still working...hivyo ni shida ndogondogo tu

Hata hivyo mama ni mama, wote tumetoka tumboni kwa mama, usimkashfu mama wa mwenzio ilhali na wewe una uzazi na utaitwa mama,

Huyo kaka yako ni jinga hata kama umeambatana na kuwa mwili mmoja na mkeo, bado unawajibika kumtunza mzazi wako esp suala la afya, siwezi kukaa nyumba ya ghorofa na mzazi wangu anakaa nyumba ya udongo kisa nimeambatana...heck no! Mama yangu nitamheshimu na kumsaidia kwa kadri Mungu anavyonipa neema hao ndio Mungu wa dunia, mama mkwe wangu hali kadhalika wala sioni tabu kabisa,

Nina mipaka yangu ya kutoa but when it comes to mom..nothing matters
 
sasa weee dada buku 50 tu inakutoa roho mpaka unatangaza humu?? vitu vidogo tu hivyo,,au wee ndo umelogwa?? kwanza umeolewa kweli wewe? labda tuanzie hapo
<br />
<br />

Tatizo lake sio 50,000, tatizo lake ni attitude ya kaka yake, hata hiyo huelewi? Umelogwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…