Inawezekana KE anateseka na ameamua kuendelea kukaza AU yuko na furaha huko alipo hatujui...Ni kweli hilo linawezekana lakini si sababu ya kukaa kimya na kuharibu penzi. Ni kukaa chini kuongea na kumwambia kosa alilofanya na yeye aeleze upande wake au kama anaona amekosea basi aombe samahani ili penzi liendelee. Jamaa mpaka kafikia kuharibu kazi ni dalili tosha alimpenda sana mpenzi wake. Mrembo kaamua kula ngumu japo naye si ajabu anateseka au yuko busy kwenye penzi jipya. Au nakosea Mark Window? [emoji12][emoji12][emoji12]
Inawezekana KE anateseka na ameamua kuendelea kukaza AU yuko na furaha huko alipo hatujui...
Msaidieni Mwanaume mwenzenu BAK.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mazoea yanakuponza kaa mbali na simu na namna yeyote ya kuwasiliana nae baada ya siku 3 mpka 7 utakuwa umepona na maisha yatarudi kama mwanzo kabla hujajuana nae...Habarini wadau na washauri wa JF
MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.
Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.
Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.
Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.
KUPENDAA KUNAUMA SANAA
Inategemea..Mambo magumu aisee haya especially kama KE hajamwambia mwenzie nini tatizo kakata mawasiliano na hata nyumbani kwa jamaa hataki kutia mguu. Hapo ME inabidi akubali tu hali halisi na kumove on. In two years the same lady will try to search for him and to let him she was wrong!!!
[emoji15][emoji15][emoji15] ALIKURUPUKA!!!
Inategemea..
Kama ni aina ya KE wanaolinda EGO zao atakuwa yupo tayari aumie tu mwisho wa siku yatapita ila hawezi kurudi.. Haya mambo bhana[emoji114]
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh!!![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Nikisema niseme vyote navyo mtendea mnaweza nichapa,nitukana,nipiga au kujua nimelogwa
zaidi ya 500k ishakata tokea nimekuwa nae suprise za hapa na pale ni kama mvua kwake
nipo apa kazini naona nimebeba dunia nawaza nikimpotezea akikausha itakuwa na sina
ata mchepuko useme utanifariji sinaaaaa
bladfaken
Hawa watoto wanatuchoshaeti ameshaachwa anawaza aamuachaje, jamani jaman
miezi kama 2 ila mwezi huu wa kumi ndo mambo yamechange kabisa moja wala mbili haikai
Kishampata anayemliwaza, wewe zilipendwa.....hujuwi kusoma alama za nyakati kijana?Habarini wadau na washauri wa JF
MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.
Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.
Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.
Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.
KUPENDAA KUNAUMA SANAA
Yan hakuna namna ni kumwacha tu na ukianza mpotezea ataanza rudi yeyeHabarini wadau na washauri wa JF
MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.
Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.
Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.
Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.
KUPENDAA KUNAUMA SANAA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shekeli haina mjadala mkwe!
Nimekununia.