Jamani maji yamefika shingoni nimwachaje?

Jamani maji yamefika shingoni nimwachaje?

Ni kweli hilo linawezekana lakini si sababu ya kukaa kimya na kuharibu penzi. Ni kukaa chini kuongea na kumwambia kosa alilofanya na yeye aeleze upande wake au kama anaona amekosea basi aombe samahani ili penzi liendelee. Jamaa mpaka kafikia kuharibu kazi ni dalili tosha alimpenda sana mpenzi wake. Mrembo kaamua kula ngumu japo naye si ajabu anateseka au yuko busy kwenye penzi jipya. Au nakosea Mark Window? [emoji12][emoji12][emoji12]
Inawezekana KE anateseka na ameamua kuendelea kukaza AU yuko na furaha huko alipo hatujui...

Msaidieni Mwanaume mwenzenu BAK.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo magumu aisee haya especially kama KE hajamwambia mwenzie nini tatizo kakata mawasiliano na hata nyumbani kwa jamaa hataki kutia mguu. Hapo ME inabidi akubali tu hali halisi na kumove on. In two years the same lady will try to search for him and to let him she was wrong!!!
😳😳😳 ALIKURUPUKA!!!


Inawezekana KE anateseka na ameamua kuendelea kukaza AU yuko na furaha huko alipo hatujui...

Msaidieni Mwanaume mwenzenu BAK.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wadau na washauri wa JF

MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.

Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.

Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.

Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.

KUPENDAA KUNAUMA SANAA
Mazoea yanakuponza kaa mbali na simu na namna yeyote ya kuwasiliana nae baada ya siku 3 mpka 7 utakuwa umepona na maisha yatarudi kama mwanzo kabla hujajuana nae...
La sivyo hata kazi utaharibu kwa msongo wa mawazo shauri yako take it from me
 
Mambo magumu aisee haya especially kama KE hajamwambia mwenzie nini tatizo kakata mawasiliano na hata nyumbani kwa jamaa hataki kutia mguu. Hapo ME inabidi akubali tu hali halisi na kumove on. In two years the same lady will try to search for him and to let him she was wrong!!!
[emoji15][emoji15][emoji15] ALIKURUPUKA!!!
Inategemea..
Kama ni aina ya KE wanaolinda EGO zao atakuwa yupo tayari aumie tu mwisho wa siku yatapita ila hawezi kurudi.. Haya mambo bhana[emoji114]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na jamaa kishamezeshwa sumu hivyo mpenzi wake mwingine si ajabu hatapata penzi la kweli kutoka kwake kwa kuhofia atatendwa tena. Ukishaumwa na nyoka ukiona unyoya machale yanacheza.

Inategemea..
Kama ni aina ya KE wanaolinda EGO zao atakuwa yupo tayari aumie tu mwisho wa siku yatapita ila hawezi kurudi.. Haya mambo bhana[emoji114]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikisema niseme vyote navyo mtendea mnaweza nichapa,nitukana,nipiga au kujua nimelogwa
zaidi ya 500k ishakata tokea nimekuwa nae suprise za hapa na pale ni kama mvua kwake

nipo apa kazini naona nimebeba dunia nawaza nikimpotezea akikausha itakuwa na sina
ata mchepuko useme utanifariji sinaaaaa
bladfaken
Duuh!!![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kuacha sio rahisi, ila kama kweli unayo nia basi chaguo ni moja tu
Mkaushie, usimtafute kwa meseji wala kwa simu hata mtandaoni

Akikutafuta usijibu chochote,endelea na maisha yako tu,
Usipofanya hivyo njia nyingine utakayotumia itakua na athari kwenu wote na mchakato wa kuachana huenda ukachukua muda mrefu zaidi.
 
Ni kipindi Cha mpito tu, utasahau na maisha yanaendelea.

Swali la kizushi......kati ya huyo CHUDA wako na mama yako mzazi ni nani unampa hela nyingi? Tafakari kisha chukua hatua
 
Habarini wadau na washauri wa JF

MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.

Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.

Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.

Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.

KUPENDAA KUNAUMA SANAA
Kishampata anayemliwaza, wewe zilipendwa.....hujuwi kusoma alama za nyakati kijana?
 
Habarini wadau na washauri wa JF

MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.

Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.

Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.

Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.

KUPENDAA KUNAUMA SANAA
Yan hakuna namna ni kumwacha tu na ukianza mpotezea ataanza rudi yeye
 
Back
Top Bottom