Jamani Nampenda Smile Naogopa Kumwambia

Jamani Nampenda Smile Naogopa Kumwambia

Jf inapoelekea cpo kabisa,watu na pumbuzetu tumehama kule facebook {kwa watoto vikojozi} tuje huku kwa kina Lara1,Mzizi mkavu,na wengne wanao jielewa, ajabu nyie watoto mna 2pandisha nyege2,embu acheni izo mambo bna eboo.!!

mpeni maombi huyu
 
yule mapenzi yetu yaliishia hum hum....

sa mi hadi nimpate mzee wa ruksa saa ngap,hadija kopa bado ana machungu na mumewe

hawezi kunieleza vizuri,niambie wewe Superman
Smile yuko wapi sijui

Daaah! Kwa hiyo uko free? :tape: Basi ngoja nisiseme . . .

Iko hivi: Mi nataka jiko la peke yangu si lile ambalo kila mtu anapikia. Mi mwislamu swafi sasa kama kuna mtu anapika kiti moto mi itakuwaje chakula changu nami haramu sili?" maana yake mimi kama nina mke wangu sitaki kushare na mtu. Ni haramu.

Na kuhusu "Alakini ukumbuke kisima cha ugenini hakitekwi maji" ni kwamba mtu hawezi kuja tu achukue chako unachomiliki wakati yeye mgeni. Usione vinaelea vimeundwa.

Hapo changanya akili zako na za mbayuwayu utaelewa.

CC: Smile Mbabebs wa Ukweeeeeeeeeeeeli
CC: Nyani Ngabu; Rais wa Wabeba Mabox
CC: Le Big Show - Kama vipi jamaa ajiapange upya
 
Last edited by a moderator:
Smile kaolewe Mbeya huko si tucheze harusi bana tukufanyie send off humu uende zako huyoooooooo kwenye Intercooler la mumeo!!!!!
 
Nakuombea kila la kheri Mkuu! Inaanzaga mzaha ivi aaf inakuwa kweli!
 
Natangaza dau atakaenifanyia mpango nitamnunulia vits.
 
Back
Top Bottom